Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,351
- 33,189
Polisi akimpiga mmoja wa Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam walipoandamana kushinikiza kupewa mikopo.
Hivi... Huyo polisi hapo hajichukulii sheria mkononi..?
Polisi akimpiga mmoja wa Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam walipoandamana kushinikiza kupewa mikopo.
Polisi akimpiga mmoja wa Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam walipoandamana kushinikiza kupewa mikopo.
Polisi akimpiga mmoja wa Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam walipoandamana kushinikiza kupewa mikopo.
Mbona. Sijawahi kuona picha za polisi wa Ulaya wakipiga mangumi na marungu waandamanaji?
Huyo kijana anaonekana kajisalimisha lakini bado anapigwa, what is this? Uncivilization au kisasi cha wao FFU kukosa elimu ya chuo kikuu????