Polisi wa Kenya waendeleza unyama kwa raia na wanahabari. Wapi uhuru wa habari?

Kuna wengine wamepiga wananchi wa lamu hadi kuwapa kilema kwa kisingizio cha kutafuta magaidi. Wameshindwa kufanya upelelezi wanatumia nguvu halafu wanajisifu.
 
Hivi wewe huoni ni kinaya kuuliza "wapi Uhuru wa habari?" ...wakati habari zenyewe umezitoa KTN news ?.
 
Ile katiba yao bora Africa ama kwa hakika imemjali police kwa kumpa mazingira wezeshi 😅😅😅
Hahaa ...kwa kweli polisi wamepewa mazingira wezeshi licha ya hayo,katiba mpya ime establish , Independent police Oversight Authority ( IPOA)...ambayo hutumika ku oversight utendakazi wa polisi.
Polisi wengi wamepoteza ajira kwa kupatikana na hatia...ila hawakuwi featured na Media kama wanaopatikana na hatia.
Tunajua mapungufu yetu na we are actively seeking solutions to our challenges.
 
Hahaa ...kwa kweli polisi wamepewa mazingira wezeshi licha ya hayo,katiba mpya ime establish , Independent police Oversight Authority ( IPOA)...ambayo hutumika ku oversight utendakazi wa polisi.
Polisi wengi wamepoteza ajira kwa kupatikana na hatia...ila hawakuwi featured na Media kama wanaopatikana na hatia.
Tunajua mapungufu yetu na we are actively seeking solutions to our challenges.
Hahahaha, kwahiyo polisi wakipiga na kuua raia hiyo ndia inakua "featured" ila wakihukumiwa haiwi "featured".

Usijaribu kuficha ukweli, kama kweli wangekua wanahadhibiwa na kufukuzwa kazi pindi wanapopiga raia na kuua watu, hayo matukio yangepungua au kuisha kabisa.

Huku Tanzania kuna polisi waliua wafanyabiashara wanne 2011 kwa kisingizio kwamba walikua majambazi, mkuu wa upelelezi wa wilaya (OC, CID), alihukumiwa Kunyongwa, 2015 Police walimuua mwanahabari huko Iringa, Polisi alifungwa miaka 15, tangu hapo Polisi wameogopa sana hawajaribu kupiga watu hovyo kama huko kwenu.
 
Hahahaha, kwahiyo polisi wakipiga na kuua raia hiyo ndia inakua "featured" ila wakihukumiwa haiwi "featured".

Usijaribu kuficha ukweli, kama kweli wangekua wanahadhibiwa na kufukuzwa kazi pindi wanapopiga raia na kuua watu, hayo matukio yangepungua au kuisha kabisa.

Huku Tanzania kuna polisi waliua wafanyabiashara wanne 2011 kwa kisingizio kwamba walikua majambazi, mkuu wa upelelezi wa wilaya (OC, CID), alihukumiwa Kunyongwa, 2015 Police walimuua mwanahabari huko Iringa, Polisi alifungwa miaka 15, tangu hapo Polisi wameogopa sana hawajaribu kupiga watu hovyo kama huko kwenu.
Hivi wale waliowauwa watu zanzibar walikamatwa?....polisi kukamatwa na kuhukumiwa si Jambo geni hapa Kenya.
Hii imetendeka leo asubuhi...ila hutaipata kwa mainstream media
Siwezi sema Kenya tumefika lakini tunajaribu.
IMG_20201230_101755.jpg
 
Baada ya polisi kuwapiga risasi watu tisa wakati wa maandamano dhidi ya madai ya wizi wa kura huko zanzibar mbona hatujaskia wamekamatwa ama hata ripoti ya uchunguzi wa tukio hilo.?..
Hii ndio Ripoti iliotolewa na IPOA baada ya tukio lililofanyika wiki Jana.
EqLQdP0XMAgPbhQ.jpg
 
Baada ya polisi kuwapiga risasi watu tisa wakati wa maandamano dhidi ya madai ya wizi wa kura huko zanzibar mbona hatujaskia wamekamatwa ama hata ripoti ya uchunguzi wa tukio hilo.?..
Hii ndio Ripoti iliotolewa na IPOA baada ya tukio lililofanyika wiki Jana.
View attachment 1662726
Weka ushahidi wa watu tisa kuuliwa Zanzibar. Weka ushahidi kama kuna POLISI au mtu yeyote aliyechukuliwa hatua wakati wa PEV 2007/8, weka ushahidi kama kuna mtu au askari yeyote aliyechukuliwa hatua kufuatia vifo vya zaidi ya wajaluo 60 waliouliwa katika uchaguzi wa 2017. IPOA ndio nini?, tunataka serikali iwachukulie hatua wahusika sio NGO kutoa ripoti zisizokua na faida yoyote
 
Weka ushahidi wa watu tisa kuuliwa Zanzibar. Weka ushahidi kama kuna POLISI au mtu yeyote aliyechukuliwa hatua wakati wa PEV 2007/8, weka ushahidi kama kuna mtu au askari yeyote aliyechukuliwa hatua kufuatia vifo vya zaidi ya wajaluo 60 waliouliwa katika uchaguzi wa 2017. IPOA ndio nini?, tunataka serikali iwachukulie hatua wahusika sio NGO kutoa ripoti zisizokua na faida yoyote
IPOA si NGO Kama unavyodai.....IPOA ni institution ya serekali ilioundwa na katiba mpya ku oversight utendakazi wa polisi.( Independent police oversight Authority).Kama vile tuna military police.
Wamesaidia pakubwa katika kulainisha utendakazi wa polisi.Polisi wengi wameshtakiwa na kuhukumiwa .
Nenda ufanye research kuhusu number of prosecutions they have done .Ila sijasema eti tumefika.
Hayo mengine utajitafutia ushahidi mwenyewe.
 
Duu, ni shidaa, yaani katiba kumbe ni mkatili kiasi hiki?
Hivi huko kwenyu ukudhulumiwa na polisi unaenda kuripoti kwa Nani ?....Maana media zenu zimebanwa na hata sijui Kama kuna idara yoyote ambayo huangalia utendakazi wa polisi.
 
Yaan hapo hawaja piga mwana habari, mm napenda wapige wale wadada wanao tangaza citizen tv wanajua kujiparaa sasa wakipigwa mkong'oto wale itakuwa poa sanaa
 
Back
Top Bottom