Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 5,186
- 17,710
Jeshi la Polisi Mkoani Arusha jana Agosti 31, 2026 majira ya usiku lilimkamata Godlisten Elisante Malisa akiwa na mwenzake kutokana na tuhuma za jinai zilizokuwa zinachunguzwa dhidi yake.
Soma: Malisa akamatwa na Polisi, Namanga na kupelekwa kusikojulikana
Aidha baada ya mahojiano wameachiwa kwa dhamana wakisubiri taratibu zingine za kisheria kukamilishwa.
Soma: Malisa akamatwa na Polisi, Namanga na kupelekwa kusikojulikana
Aidha baada ya mahojiano wameachiwa kwa dhamana wakisubiri taratibu zingine za kisheria kukamilishwa.