Polisi: Malisa alikamatwa akiwa na mwenzake kutokana na tuhuma za jinai

Polisi: Malisa alikamatwa akiwa na mwenzake kutokana na tuhuma za jinai

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
5,186
Reaction score
17,710
Jeshi la Polisi Mkoani Arusha jana Agosti 31, 2026 majira ya usiku lilimkamata Godlisten Elisante Malisa akiwa na mwenzake kutokana na tuhuma za jinai zilizokuwa zinachunguzwa dhidi yake.

Soma: Malisa akamatwa na Polisi, Namanga na kupelekwa kusikojulikana

Aidha baada ya mahojiano wameachiwa kwa dhamana wakisubiri taratibu zingine za kisheria kukamilishwa.

1788248180437.png
 
Jeshi la Polisi Mkoani Arusha jana Agosti 31, 2026 majira ya usiku lilimkamata Godlisten Elisante Malisa akiwa na mwenzake kutokana na tuhuma za jinai zilizokuwa zinachunguzwa dhidi yake.

Aidha baada ya mahojiano wameachiwa kwa dhamana wakisubiri taratibu zingine za kisheria kukamilishwa.

View attachment 3661080
Jinai sio siri kwamba haitajwi,
Polisi come up mseme ni jinai gani hiyo?
 
Kukamatwa kwa Watu wawili

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha jana Agosti 31,2026 majira ya usiku lilimkamata Godlisten Elisante Malisa akiwa na mwenzake kutokana na tuhuma za jinai zilizokuwa zinachunguzwa dhidi yake.

Baada ya mahojiano wameachiwa kwa dhamana wakisubiri taratibu zingine za kisheria kukamilishwa.

Imetolewa na: Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha
IMG-20260901-WA0016(1).jpg


MY TAKE;
IMG-20260901-WA0022.jpg

Baada ya kuachiwa kwa dhamana

Kwanini polisi hawatumii njia za kisheria za ukamataji? Kuna haja gani ya kuvaa Mask na mabunduki mengi kama mnakamata jambazi?

Najua hamkutaka aseme kwamba wazazi wake wamevamiwa..

 
Sikuwahi kufikiria kama nchi yetu itafika huku tulipo. Imenikumbusha miaka ya 96 nikiwa Std 2, naenda kwa babu yangu Diwani jioni kusikiliza redio DW, BBC habari za Rwanda, Congo na Burundi. Leo hii imekuwa zamu yetu.

Inasikitisha sana. Niliamini hizo nchi hazina wazee na Tz ina wazee ambao hawawezi kukubali tufike huko. Lakini masikini wapo kimya kama yanatokea nchi za mbali
 
Jeshi la Polisi Mkoani Arusha jana Agosti 31, 2026 majira ya usiku lilimkamata Godlisten Elisante Malisa akiwa na mwenzake kutokana na tuhuma za jinai zilizokuwa zinachunguzwa dhidi yake.

Soma: Malisa akamatwa na Polisi, Namanga na kupelekwa kusikojulikana

Aidha baada ya mahojiano wameachiwa kwa dhamana wakisubiri taratibu zingine za kisheria kukamilishwa.

After noises and pressure ndipo mnakiri kumkamata, hapo mmesham-blackmail ndipo mkamuachia.
Kwanini hamuisemi hiyo jinai kama ambavyo huwa mnaitisha press conference hata mkikamata mshukiwa wa wizi wa kuku.
 
Sikuwahi kufikiria kama nchi yetu itafika huku tulipo. Imenikumbusha miaka ya 96 nikiwa Std 2, naenda kwa babu yangu Diwani jioni kusikiliza redio DW, BBC habari za Rwanda, Congo na Burundi. Leo hii imekuwa zamu yetu.

Inasikitisha sana. Niliamini hizo nchi hazina wazee na Tz ina wazee ambao hawawezi kukubali tufike huko. Lakini masikini wapo kimya kama yanatokea nchi za mbali
Goshi Nkoyi ? U ng'waka gwene nale lya kabele 😃😃😃
 

Attachments

  • 1000024076.jpg
    1000024076.jpg
    45.1 KB · Views: 2
Back
Top Bottom