Godlisten Elisante Malisa amesema ameachiwa huru na Jeshi la Polisi leo asubuhi bila kudhaminiwa, akikanusha taarifa kwamba aliachiwa kwa dhamana baada ya kuhojiwa kuhusu tuhuma za jinai. Malisa amesema hajahojiwa wala kuandikiwa maelezo kuhusu tuhuma zozote za jinai, na kwamba mali zake zote...
Jeshi la Polisi Mkoani Arusha jana Agosti 31, 2026 majira ya usiku lilimkamata Godlisten Elisante Malisa akiwa na mwenzake kutokana na tuhuma za jinai zilizokuwa zinachunguzwa dhidi yake.
Soma: Malisa akamatwa na Polisi, Namanga na kupelekwa kusikojulikana
Aidha baada ya mahojiano wameachiwa...
Kupitia ukurasa wake facebook, Askofu Benson Bagonza ameandika
MALISA HAKUJIFICHA; ASIFICHWE
Godlisten Malisa huwa hafichi maoni yake. Hafichi upendo na huruma yake kwa watu wote. Lakini pia hafichi kukerwa kwake na dhuluma. Marafiki zake na maadui zake wanajua.
Hakuficha kurejea kwake nchini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.