Hawa polisi sioni kwa namna gani wanaweza kupata baoSimba fungeni la 2 basi tusikae na hofu
Ni kweli mkuu huyu Kagere sijamuelewa kabisa leo hayupo mchezoni kabisaaBado polisi wanacheza vizuri sana, leo simba imedevels ebu cheki kama hiyo kross ya kagere
Wamuwekee kikwazo tuKagere asiongezewe mkataba hana maajabu tena
yote hayo ya nini kama mkataba umeisha,ana maisha yake akatafute timu nyingineWamuwekee kikwazo tu
Yani mshahara wake wamtoze VAT kubwa, ataacha mwenyewe na club tutakua tumekwepa lawama kua tumemtimua
Wacha pressure, sio kila timu tuigonge 4 kama utopolo, rilaxx subiri tarehe 3.Dakika ya 81 moreison bado yuko bench hakuna dalili za simba kuongeza bao kwa tafsiri ya haraka kocha kalizika na kigoli kimoja....acha uishe nikaangalie series zangu tu
At least sasa soka lionekane, sasa unakuta mpira tunacheza kama yanga afu ndani tuna furushi la greatest intenational footballer.Wacha pressure, sio kila timu tuigonge 4 kama utopolo, rilaxx subiri tarehe 3.
Kagere anatuliza kwanza mpira...huyu jamaa leo haya sasa wale waliokua wanamdiss mugalu kwa kumpa thamani kagere wako wapi now?🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kagereeeee
Hivi viwanja (pitch) na miili ya wachezaji bado haijachangamka vizuri, next game utaiona biriani.At least sasa soka lionekane, sasa unakuta mpira tunacheza kama yanga afu ndani tuna furushi la greatest intenational footballer.
Ni ujinga mtupu ndio maana Haji huwa anawaitaga takataka tuWachambuzi mandazi, vipindi vyao siku hizi hata sivisikilizi tena nilikuwa nahisi nasikiliza matahira, wao wanakwambia football is a contact game, lazima mgusane.
Ila kugusana kwenyewe wanakwambia wapinzani wa Simba lazima watumie nguvu, nikawa najiuliza sasa hiyo itakuwa football au wrestling? nikajua nasikiliza wajinga bora niwaachie wanaowaelewa.
Tupo mkuu.Kagere anatuliza kwanza mpira...huyu jamaa leo haya sasa wale waliokua wanamdiss mugalu kwa kumpa thamani kagere wako wapi now?