Kabisa huyu Mzamiru atoke aingie Morrison Nyoni acheze katikati na LwangaKocha anachelewa kufanya sub haraka ilitakiwa morrison aingie
Simba inaonekana wali relax sana hapo kati kati yani walijisahau kabisaKabisa huyu Mzamiru atoke aingie Morrison Nyoni acheze katikati na Lwanga
Ukistaajabu ya manula utayaona ya kagere na bokoDuuh huyu Manula
Simba inaonekana wali relax sana hapo kati kati yani walijisahau kabisa
Leo naona Kama vile kocha kukosea kidogo sub ya Nyoni alitakiwa kutoka Muzamiru, Kutoka Bwaliya alitakiwa kuingia MorrisonInabidi Morison na Dilunga waingie,mpira umepoa
Katuangusha na dakika zinasongaHuyo ndio Kagere bana,lazima tukubali umri umempita
Hawa polisi sioni kwa namna gani wanaweza kupata baoSimba fungeni la 2 basi tusikae na hofu
Wachambuzi mandazi, vipindi vyao siku hizi hata sivisikilizi tena nilikuwa nahisi nasikiliza matahira, wao wanakwambia football is a contact game, lazima mgusane.Si wanadanganywa na wachambuzi takataka eti ukicheza na Simba unatakiwa kuwapa tafu game kwa kuwagonga gonga sana wao ndio wanafuati huo ushauri wa kipuuzi.