Polisi Tanzania inanuka rushwa

Polisi Tanzania inanuka rushwa

MamaBeata

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2013
Posts
325
Reaction score
112
Nimekuwa safarini siku mbili hizi na nimeshuhudia rushwa nje nje imekuwa kama tuko Nigeria vile. Yaani traffic police wanasimamisha magari halafu hawaji kwenye gari konda anazunguka nyuma ya gari anampa hela. Na hiki kipindi naskia wanatafuta hela ya sikukuu ni wamejaa humo barabarani usiseme.
Kilichoniuma ni kuwa kimsingi polisi ndio wasimamizi wa sheria lakini wanachukua rushwa huku raia wakishuhudia. Hali hii inatisha. Mbaya sana. Hata watoto wadogo wanaona wanajifunza nini? TAKUKURU Wapo na hawaoni haya yanayotokea. Mbaya!!!
 
Nimekuwa safarini siku mbili hizi na nimeshuhudia rushwa nje nje imekuwa kama tuko Nigeria vile. Yaani traffic police wanasimamisha magari halafu hawaji kwenye gari konda anazunguka nyuma ya gari anampa hela. Na hiki kipindi naskia wanatafuta hela ya sikukuu ni wamejaa humo barabarani usiseme.
Kilichoniuma ni kuwa kimsingi polisi ndio wasimamizi wa sheria lakini wanachukua rushwa huku raia wakishuhudia. Hali hii inatisha. Mbaya sana. Hata watoto wadogo wanaona wanajifunza nini? TAKUKURU Wapo na hawaoni haya yanayotokea. Mbaya!!!

Mtoto wacha kupaka matope jeshi letu tukufu
 
Mtoto wacha kupaka matope jeshi letu tukufu

Kwanza mimi sio mtoto nimeshuhudia kwa macho yangu. Ikaniuma kwa ajili ya nchi yangu. Kwa nini rushwa imekua hadharani kiasi hiki? Tunaipeleka wapi nchi yetu? Trafiki hawana hata aibu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nimekuwa safarini siku mbili hizi na nimeshuhudia rushwa nje nje imekuwa kama tuko Nigeria vile. Yaani traffic police wanasimamisha magari halafu hawaji kwenye gari konda anazunguka nyuma ya gari anampa hela. Na hiki kipindi naskia wanatafuta hela ya sikukuu ni wamejaa humo barabarani usiseme.
Kilichoniuma ni kuwa kimsingi polisi ndio wasimamizi wa sheria lakini wanachukua rushwa huku raia wakishuhudia. Hali hii inatisha. Mbaya sana. Hata watoto wadogo wanaona wanajifunza nini? TAKUKURU Wapo na hawaoni haya yanayotokea. Mbaya!!!

hili suala la kawaida sana,nilidhan wamefanya tukio la ajabu,ww unadhan Mpingo ambaye ni kamanda wao hajui???
 
Nimekuwa safarini siku mbili hizi na nimeshuhudia rushwa nje nje imekuwa kama tuko Nigeria vile. Yaani traffic police wanasimamisha magari halafu hawaji kwenye gari konda anazunguka nyuma ya gari anampa hela. Na hiki kipindi naskia wanatafuta hela ya sikukuu ni wamejaa humo barabarani usiseme.
Kilichoniuma ni kuwa kimsingi polisi ndio wasimamizi wa sheria lakini wanachukua rushwa huku raia wakishuhudia. Hali hii inatisha. Mbaya sana. Hata watoto wadogo wanaona wanajifunza nini? TAKUKURU Wapo na hawaoni haya yanayotokea. Mbaya!!!
Kinachonishangaza TAKUKURU ipo na sijasikia hata siku moja wamemtia mbaroni askari wa barabarani kwa rushwa.Ni rahisi sana kuwawekea mtego hawa matraffic lakini takukuru ipo kama mbwa anayebweka bila kuuma.
 
hili suala la kawaida sana,nilidhan wamefanya tukio la ajabu,ww unadhan Mpingo ambaye ni kamanda wao hajui???

Wamezidi sasa maana hata madereva wanalalamika maana imebidi apunguze dau alianza na buku mbili akashuka hadi jero kaona karibu kila kituo wapo. Na traffic wasivyo na haya wanachukua tu.
 
Kwanza mimi sio mtoto nimeshuhudia kwa macho yangu. Ikaniuma kwa ajili ya nchi yangu. Kwa nini rushwa imekua hadharani kiasi hiki? Tunaipeleka wapi nchi yetu? Trafiki hawana hata aibu.

Bibi Corruption in the police force is not a new topic of discussion.It has been around since the beginning.Wewe bado unanyonya wacha hayo mambo nenda kapumzike
 
Waambie madereva wasiendeshe magari mabovu.

Kama gari bovu sheria si zipo? Kwanini kujishusha hadhi kazi yao kwa ajili ya sh 2000? Hata kama njaa polisi wamezidi. Na Kwanini usimamishe gari halafu unazunguka nyuma ya gari?
 
Fuata sheria ndipo utuambie nani dereva kaonewa.

Sheria ya kusimamisha gari si unamfata dereva unamweleza makosa yake? Sasa kuzunguka nyuma ya gari ili wapewe sh 1000/- kweli hiyo ndio kazi ya polisi? Shame on them
 
Asilimia 99% mabasi na magari mengi Tz ni mabovu na hayana sifa thabiti ya kuwa barabarani, unalijua hili kwanza? Watoa rushwa ndo wa kulaumiwa kama uko sahihi kwanini utoe rushwa?
 
Nadhani kupambana nao hawa ni kuanza kuwapiga picha wakati wanapokea rushwa na kuziweka hapa. Ukiona polisi amekaa mkao wa kuchukua rushwa tu barabarani toka kwa konda au dreva basi ni kuhakikisha unachukua picha pesa zikiwa bado mikononi kwa konda na picha nyingine zikiwa mikononi mwa polisi.

Wamezidi sasa maana hata madereva wanalalamika maana imebidi apunguze dau alianza na buku mbili akashuka hadi jero kaona karibu kila kituo wapo. Na traffic wasivyo na haya wanachukua tu.
 
Nadhani kupambana nao hawa ni kuanza kuwapiga picha wakati wanapokea rushwa na kuziweka hapa. Ukiona polisi amekaa mkao wa kuchukua rushwa tu barabarani toka kwa konda au dreva basi ni kuhakikisha unachukua picha pesa zikiwa bado mikononi kwa konda na picha nyingine zikiwa mikononi mwa polisi.


Hilo wazo zuri. Lakini pia ni vema watu wa TAKUKURU kujaribu kuingia field. Yani nina uhakika lazima watamkamata trafiki hasa kipindi hiki cha sikukuu. Kutoka Dar wakifika Chalinze tayari watakua wameshakamata tukio la Rushwa maana haya mambo yanafanywa nje nje bila kificho.
 
Nimekuwa safarini siku mbili hizi na nimeshuhudia rushwa nje nje imekuwa kama tuko Nigeria vile. Yaani traffic police wanasimamisha magari halafu hawaji kwenye gari konda anazunguka nyuma ya gari anampa hela. Na hiki kipindi naskia wanatafuta hela ya sikukuu ni wamejaa humo barabarani usiseme.
Kilichoniuma ni kuwa kimsingi polisi ndio wasimamizi wa sheria lakini wanachukua rushwa huku raia wakishuhudia. Hali hii inatisha. Mbaya sana. Hata watoto wadogo wanaona wanajifunza nini? TAKUKURU Wapo na hawaoni haya yanayotokea. Mbaya!!!

kama una chombo cha moto siku usahau leseni nyumbani uone jinsi utakavyokua unambembeleza achukue buku 5 ili akuachie uende bila kulipa faini
NB; Polisi sio wala rushwa ni wasumbufu tu rushwa ya buku jaribu kufanya utafiti kwenye halimashauri, miladi mbali mbali Bot nk kama hujatoroka nchini!
 
Asilimia 99% mabasi na magari mengi Tz ni mabovu na hayana sifa thabiti ya kuwa barabarani, unalijua hili kwanza? Watoa rushwa ndo wa kulaumiwa kama uko sahihi kwanini utoe rushwa?

Inawezekana pia watoa rushwa hawana elimu ya kutosha kuhusu haki zao. Lakini upande wa polisi wao ndio wanajua lakini kwa nini wao wanavunja sheria hadharani? Hivi asilimia 99% ya magari ni mabovu kama unavyodai ndio ticket ya kupokea rushwa?
 
Nashangaa wote mnatoa tuhuma kwa polisi kupokea rushwa sijaona hata mtu mmoja akiwahimiza madereva wasiwape polisi rushwa wakati kila mmoja wetu tunafahamu kuwa mtoa rushwa na mpokeaji wote wanahatia. Nadhani kuikomesha rushwa ni kitu kidogo nikuwambia madereva waache kutoa rushwa kwa askari kinyume cha hapo tutabaki kuimba wimbo wa rushwa kama wendawazimu.
 
polisi na takukuru elimu yao kama ya mashaka vile,wengi form four nahisi.acha watutese..
#polisi njooni mchukue buku 3 zenu kwetu alaaah!
 
Back
Top Bottom