Polisi Tanzania inanuka rushwa

Polisi Tanzania inanuka rushwa

Usilalamike mwannchi
Mtoa na mpokea RUSHWA wote wamefanya kosa
Na wewe pia umefanya kosa, badala ya kuwakamata wakati wanapeana rushwa unakimbilia JF
Siku nyingi piga kelele hapo hapokisa uje JF
 
Jeshi takatifu linapokea rushwa labda virse versa

So for us as a nation to bring corruption down,it is not just blaming government or blaming the police, but all individuals must frown upon people who have what they are not supposed to have who live in houses they are not supposed to live in who drive cars they are not supposed to drive and who wear expensive suits they are not supposed to wear
 
Kama gari bovu sheria si zipo? Kwanini kujishusha hadhi kazi yao kwa ajili ya sh 2000? Hata kama njaa polisi wamezidi. Na Kwanini usimamishe gari halafu unazunguka nyuma ya gari?

90% ya magari barabarani ni mabovu, ukijidai kusimamia haki utashitaki mangapi?
 
kama una chombo cha moto siku usahau leseni nyumbani uone jinsi utakavyokua unambembeleza achukue buku 5 ili akuachie uende bila kulipa faini
NB; Polisi sio wala rushwa ni wasumbufu tu rushwa ya buku jaribu kufanya utafiti kwenye halimashauri, miladi mbali mbali Bot nk kama hujatoroka nchini!

Nakuunga mkono, 5000 sio rushwa kabisa hyo ni kama kumpa pole ya usumbufu.

Rushwa ya kweli ipo humo idara nyeti, hela inaanzia kwa hosea hadi takukuru nzima
 
Nakuunga mkono, 5000 sio rushwa kabisa hyo ni kama kumpa pole ya usumbufu.

Rushwa ya kweli ipo humo idara nyeti, hela inaanzia kwa hosea hadi takukuru nzima

Lakini kumbuka hata mbuyu ulianza kama mchicha na leo akidai pesa unayoiita ya usumbufu ipo siku atashirikiana na majambazi kufanya uhalifu. Wazungu wanasema two wrongs don't make it right. Kosa ni kosa hata kama linafanywa na wengi.
 
Lakini kumbuka hata mbuyu ulianza kama mchicha na leo akidai pesa unayoiita ya usumbufu ipo siku atashirikiana na majambazi kufanya uhalifu. Wazungu wanasema two wrongs don't make it right. Kosa ni kosa hata kama linafanywa na wengi.

Wacha polisi wapige hela za kunywea maji. 5000 rushwa?? Nadhani unatakiwa kusema kuanzia 1,000,000
 
kama askari anakuomba rushwa kwanini usimuekee mtego ili anase kwa takukuru mbona namba za cm za takukuru zipo...tatizo watu wanadharau sana
 
yah..ukipiga picha ndo jambo sahihi kabisaa utakua ni ushahidi tosha
 
Back
Top Bottom