masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,643
- 14,642
Polisi hawajijui.
Na hawajui kuwa katika miaka ya karibuni jeshi la Polisi limejijengea sifa hasi mbele ya jamii.
Utekaji, ubambikaji kesi na taarifa zisizokuwa na ukweli dhidi ya wananchi kwa ujumla imeshusha sana imani ya watu kwa jeshi letu la polisi.
Polisi kuhusika kiamilifu mauaji ya Okt29 imeongeza chuki kutoka kwa wananchi.
Sasa tunaona reaction ya mtu mmoja mmoja kama huyo Daktari Agonza kwa kutendewa kitu ambacho akaona anyooshane na huyo polisi mhusika.
Akumulikaye mchana, usiku atakuchoma.
Huko ndiko tunaelekea.
Sasa madaktari wamejiapiza nasikia kulipa kisasi kwa mwenzao alivyotendewa, wao wanaona si haki kwa mwenzao Dr Agonza aliyekuwa anawahi hospitali.
Maisha ya askari polisi wadogo na familia zao ni lazima zitapitia wakati mgumu mahospitalini.
Kamanda Muliro anawajibu wa kutoa taarifa zilizo na ukweli badala ya zilizopinda pinda na kuficha uhalifu wa askari wake.
Na hawajui kuwa katika miaka ya karibuni jeshi la Polisi limejijengea sifa hasi mbele ya jamii.
Utekaji, ubambikaji kesi na taarifa zisizokuwa na ukweli dhidi ya wananchi kwa ujumla imeshusha sana imani ya watu kwa jeshi letu la polisi.
Polisi kuhusika kiamilifu mauaji ya Okt29 imeongeza chuki kutoka kwa wananchi.
Sasa tunaona reaction ya mtu mmoja mmoja kama huyo Daktari Agonza kwa kutendewa kitu ambacho akaona anyooshane na huyo polisi mhusika.
Akumulikaye mchana, usiku atakuchoma.
Huko ndiko tunaelekea.
Sasa madaktari wamejiapiza nasikia kulipa kisasi kwa mwenzao alivyotendewa, wao wanaona si haki kwa mwenzao Dr Agonza aliyekuwa anawahi hospitali.
Maisha ya askari polisi wadogo na familia zao ni lazima zitapitia wakati mgumu mahospitalini.
Kamanda Muliro anawajibu wa kutoa taarifa zilizo na ukweli badala ya zilizopinda pinda na kuficha uhalifu wa askari wake.