kama ni kweli alimpiga askari hapaswi hata kuwa daktari na alipaswa kunyang'anywa kibali cha kutibia watu nchini anaweza kwenda nje ya nchi, again siujui ukweli wote lkn kama ni kweli alimshambulia law enforcement hapaswi kuendelea kutibu nchini na anyanganywe kibali cha utabibu.
anayetoa kibali cha utabibu ni serikali na serikali inaweza kukichukua pia, tuache kuishi kwa mazoea, kumshambulia law enforcement aliyekuwa kazini kutekeleza majukumu yake ni no go, hiyo inavuka mipaka yote, nothing justifies that , kama unaona umeonewa sheria ziko wazi, askari wote wana utambulisho lkn kumshambulia askari aliye kazini ni kosa kubwa, kwa maoni yangu kama ikithibitishwa amemshambulia askari aliyekuwa akitekeleza majukumu yake hapaswi tena kurudi kazini na kuruhusiwa kutibu watu ndani ya jamhuri ya tanzagiza ...