Candela
JF-Expert Member
- Aug 12, 2021
- 857
- 2,289
Guys sasa hivi ukigombana na mtu au kwa namna yoyote ukapata jambo linalokulazimu kwenda kituo cha polisi kushitaki aisee kama ni mtu samehe tu na kama ni deni la pesa angalia namna nyingine ya kumdai
Why nasema hivi, kuna taarifa imelenea huko Kinyerezi Daslam watu waliibiwa wakapiga simu polisi, aliepiga simu ni polisi mstaafu.
Polisi waliofeli shule na IQ zao ndogo walipofika waliwaua hao walioripoti kuibiwa na huyo askar mstaafu jumla waliua watu 8.
Hiyo imetokea Mwezi huu wa 11 tarehe 3. Kwa hiyo unaweza kuona ni jinsi gani sasa hivi Polisi wamegeuka majambazi ya kisheria.
Why nasema hivi, kuna taarifa imelenea huko Kinyerezi Daslam watu waliibiwa wakapiga simu polisi, aliepiga simu ni polisi mstaafu.
Polisi waliofeli shule na IQ zao ndogo walipofika waliwaua hao walioripoti kuibiwa na huyo askar mstaafu jumla waliua watu 8.
Hiyo imetokea Mwezi huu wa 11 tarehe 3. Kwa hiyo unaweza kuona ni jinsi gani sasa hivi Polisi wamegeuka majambazi ya kisheria.