Old guard
JF-Expert Member
- Dec 15, 2020
- 1,493
- 2,697
Kiukweli nimejawa na sumu kali sana kwa jeshi la polisi, hawa majamaa sio watu wa haki, wamejawa na dhulma, tamaa na roho mbaya, ukikutana nae kavaa kiraia kama mtu vile, sasa kutana nae kavaa sare zake, roho ya ushetan imeshamtawala wanajiona wapo juu ya haki.
Tena usiombe ukutane na mwanamke yupo counter, wanamidomo michafu sana, matusi yamewajaa sana midomoni.
Nawachukia sana hawa majamaa, mbona wanajeshi roho zao ni tofauti na nyie? Ndio maan hamuendelei kazi kujazana kweny nyumba za kota.
Tena usiombe ukutane na mwanamke yupo counter, wanamidomo michafu sana, matusi yamewajaa sana midomoni.
Nawachukia sana hawa majamaa, mbona wanajeshi roho zao ni tofauti na nyie? Ndio maan hamuendelei kazi kujazana kweny nyumba za kota.