HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 2,783
- 2,394
Yafungwe yote tu hayana maana majizi wanapambana na majizi wenzao
Kamanda wa mbeya anajitafuta sana.Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeyafunga makanisa sita ya Ufufuo na Uzima yaliyopo eneo la ZZK Mbalizi, Mtaa wa Mnadani Rujewa VWilaya ya Mbarali, Wilaya ya Chunya, Rungwe, Kyela na Jijini Mbeya.
Taarifa ya kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya SACP Benjamini Kuzaga amesema wameyafungia makanisa hayo Kufuatia tamko la serikali lililotolewa Juni 02, 2025 kupitia msajili wa jumuiya za kiraia nchini la kufunga makanisa ya Ufufuo na Uzima kutoendelea kutoa huduma katika matawi yake yote yaliyopo nchi nzima.
Sacp Kuzaga amesema Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linaendelea kufanya ufuatiliaji ili kubaini uwepo wa makanisa hayo na kuchukua hatua za kisheria.
#WasafiDigital
We have not had an idiot in the State House before!Hivi katika tawala zote zilizopita wameshawa kufunga kanisa au msikiti?
Kwa sheria ipi???Kazi inaendelea kimyakimya.... Mikoa mingine pia mambo yamechemka, amri ya serikali sio ya kufanyia mchezo. Wachungaji tukalime sasa, ujanja ujanja unaelekea mwisho
View attachment 3358219
Ni kweliHayo ni majengo tu, Kanisa la Mungu halijawahi kufungwa
Pangechimbika balaa. Ila uzuri wa wafuasi wa Kristo huwa hawana haraka z vita hupiganwa na Yeye mwenyewe. Ila hakika Dkt Samia katukwaza sana wana CCM. Ila uzuri siku akiondoka madarakani iko namna atakuja kujutia. Kama siyo yeye basi kizazi chake. Sikutegemea kabisa kama hakika angeshughulika na vitu vidogo namna hii badala ya kutafuta kura anapoteza kura. Uzuri hii mifumo ni mtifuano na mfumo wa Mungu siku zote hushinda. Ni kama Yesu Kristo alivyoteswa na kuuawa wale watesi walijiona wameshinda ila hawakujua atafufuka na kuwa na mamlaka makubwa zaidi.Vipi kama misikiti 6 ingefungwa pangekalika hapo mbeya kweli? TISS angalieni hili kwa hekima kubwa
Ni kweli yaani shetani yupo kazinimmefunga majengo
Ndio wa kwanza huyu. Halafu anaenda kujisafisha kwa puppet kutoa pesa zilizojaa UNAFIKI Husda chukiHivi katika tawala zote zilizopita wameshawa kufunga kanisa au msikiti?