Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Jamani naomba mnisaidie kupata uelewa wa jambo hili.
Kwa siku za karibuni nimekuwa nikishuhudia askari polisi wengi wakimiliki magari ya bei mbaya na si hivyo tu bali wamekuwa wakiyatumia kazini (yaani wakati wafanyapo majukumu ya kiofisi) kama vile ni magari ya kazi.
Nimeshuhudia matrafiki wakiendesha magari yao binafsi kwenda porini kutegeshea magari, na wale wengine wakienda na magari yao kukamata magendo na kadhalika.
Naomba nieleweshwe hii imekaaje? ni ruksa kisheria???? Je ka si ruksa mbona wanayatumia wakati wakubwa wao wakifahamu??
Kwa siku za karibuni nimekuwa nikishuhudia askari polisi wengi wakimiliki magari ya bei mbaya na si hivyo tu bali wamekuwa wakiyatumia kazini (yaani wakati wafanyapo majukumu ya kiofisi) kama vile ni magari ya kazi.
Nimeshuhudia matrafiki wakiendesha magari yao binafsi kwenda porini kutegeshea magari, na wale wengine wakienda na magari yao kukamata magendo na kadhalika.
Naomba nieleweshwe hii imekaaje? ni ruksa kisheria???? Je ka si ruksa mbona wanayatumia wakati wakubwa wao wakifahamu??