S SASTONI Member Aug 7, 2012 27 0 Oct 12, 2012 #21 kama wanatumia kwa nia njema ktk kujirahisishia kazi hakuna ubaya polisi nao wana haki ya kumiliki magari na wanauwezo
kama wanatumia kwa nia njema ktk kujirahisishia kazi hakuna ubaya polisi nao wana haki ya kumiliki magari na wanauwezo
S SASTONI Member Aug 7, 2012 27 0 Oct 12, 2012 #22 UMEJIPOTOSHA!kila taasisi kuna wasio waadilifu usi jumuishe polisi wote kwa tukio moja tumia vizur taaluma yako kiutafit
UMEJIPOTOSHA!kila taasisi kuna wasio waadilifu usi jumuishe polisi wote kwa tukio moja tumia vizur taaluma yako kiutafit
N NnyaMbwate JF-Expert Member Nov 3, 2010 1,678 1,204 Oct 12, 2012 #25 C.T.U said: unajua gari la bei mbaya wewe ? kamuulize david mosha maana ya gari la bei mbaya anyway gari la bei mbaya kama hilo hapo View attachment 67848 Click to expand... Hizi ndo kauli za kuhalalisha wizi, udhulumati, ufisadi; you name it!! Tutafika kweli?
C.T.U said: unajua gari la bei mbaya wewe ? kamuulize david mosha maana ya gari la bei mbaya anyway gari la bei mbaya kama hilo hapo View attachment 67848 Click to expand... Hizi ndo kauli za kuhalalisha wizi, udhulumati, ufisadi; you name it!! Tutafika kweli?