POLISI: KOVA hana la kufanya...

POLISI: KOVA hana la kufanya...

Kova angalikuwa Nigeria angeshtakiwa kwa kuwa rumor mongerer kwa kuwa aliyoyasema si ya kweli. Pole sana ndugu yangu Kova. Mwacheni Mungu aitwe Mungu. Kuna jambo Mungu anataka kutufundisha kupitia kwa Dr. Ulimboka. Kila mtu aliyehusika kumwaga damu yake amekaribisha laana kwenye uzao wake. wataugua ukoma usio na kikomo
 
nakumbuka msemaji wa jeshi la polisi alikuwa kamanda MSIKA, Jamaa alikuwa safi sana, lkn toka alipohamishiwa dar huyo kova basi kila kitu ni yeye tu mpaka jamaa nadhani amekata tamaa
Kazi ipo mwaka huu


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Hivi Alhaji Suleiman Kova si alikwenda kule Mecca kwa minajili ya kuacha kufanya mambo kama hili alolifanya la usandiki, uonevu na ukandamizaji?

Na mara nyingi ukirudi kutoka huko unaitwa Alhaji.
 
nakumbuka msemaji wa
jeshi la polisi alikuwa kamanda MSIKA, Jamaa alikuwa safi sana, lkn toka
alipohamishiwa dar huyo kova basi kila kitu ni yeye tu mpaka jamaa
nadhani amekata tamaa

msika keshastaafu!
 
Maafisa mbalimbali wa Jeshi la Polisi wamedai kuwa Ripoti zote anazozitoa Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,Alhaji Suleiman Kova,juu ya sakata la Dr.Ulimboka, ni za kupikwa kutoka juu. Maafisa hao, niliozungumza nao muda mfupi uliopita,wamedai kuwa Kamanda Kova hana la kufanya zaidi ya kusema anachoagizwa. '

'Kila kitu kinaratibiwa toka kwa wakuu wake' walisema Maafisa hao wenye vyeo vya Makamishna Wasaidizi wa Polisi.'Wanamdumaza kwakweli,kila wanachotaka kisikike ndicho anachosema Kamanda Kova. Si uungwana na wala si tulichofundishwa kama Maaskari' walisema kwa kulalama maafisa hao walionipigia magoti nisiwataje majina yao.Hatahivyo,maafisa hao waligoma kugoma kutaja 'juu' wanapopazungumzia...

Ndugu katika Bwana pale mtaa wa UFIPA wanakulipa shiling ngapi kwa siku?
 
mwanamme aliyekamilika si anaye kubali kila anacho ambiwa, kama haamini anacho ambiwa amwaambie waseme wao wana amini. a real man should a man

Kijana wangu YESU anakuona kwa huo uzushi wako na kutumika kwako kwani unalipwa shilingi ngapi pale mtaa wa UFIPA?
 
Kama Kamanda wa Polisi, kwa Unafiki mkubwa alikwenda kuupigia salute mwili wa mwigizaji, atashindwa kufanya nini la kujitoa akili ili awafurahishe "mabwana" zake!
The guy is but a walking corpse.
Yawezekana alizingatia umuhimu wa mwigizaji katika mauzo yake ya filamu ambayo mwisho wa siku yanaingia kwenye kodi na baadaye kamanda anapata riziki yake --- lol
 
606963777.jpg


Huu mchezo sijui utaishije na movie director Msangi yupo anasimama bega kwa bega na Kova.

Ni filamu hii inaendelea na tusubiri tuone mwisho wake.
 
nakumbuka msemaji wa jeshi la polisi alikuwa kamanda MSIKA, Jamaa alikuwa safi sana, lkn toka alipohamishiwa dar huyo kova basi kila kitu ni yeye tu mpaka jamaa nadhani amekata tamaa

Sharobaro KOVA anapenda kuuza mzeiya..
 
606963777.jpg


Huu mchezo sijui utaishije na movie director Msangi yupo anasimama bega kwa bega na Kova.

Ni filamu hii inaendelea na tusubiri tuone mwisho wake.


Haka n i kamchezo na wanakapenda kwelikweli kuhusu kuita vyombo vya habari acha tu......
 
Kijana wangu YESU anakuona kwa huo uzushi wako na kutumika kwako kwani unalipwa shilingi ngapi pale mtaa wa UFIPA?

Na wewe mbwiga acha uzushi, yesu gani anayemuona, au yesu wenu wa ccm,! Njegele wewe
 
Hii issue Kama Kova kachemsha hivi! Sasa tusubirie version mpya ya Chagonja he always comes up with something in situations like these! Atakuja na alnacha zake na evidence za kujua yeye! Hakuna kitakachotokea wala atakaejiuzulu, afu siku zinasonga, hii ndio Tanzania bhana! Kila kitu ni Drama
 
duh sijawahi ona muingizaji sinema kupigiwa saluti...kweli only in bongo hiyo..huyu ndio kiongozi wetu wa polisi anayesimamia upelelezi wa ulimboka? dah!!

Dah,nimekumbuka enzi zile za jkt,yani kanumba na yeye alikuwa mteule wa rais? Kweli hatuna askali,shria za wakati ule zilikuwa zinasema saruti anapigiwa askali aliyekuzidi cheo,au rais au mtu yeyote ambaye uteuzi wake wa kimamlaka unafanywa na rais,hii ya kova only kipindi hiki
 
rais wa migomo sizan kama mwaka utamaliza vizur you going 2die since as soon as posible...let me 2see!!
 
Alianza YANGA, akala 2 : 0. Akaja SIMBA na kiherehere chake naye akala 2 : 0. Ngoma ikawa droo.
 
Back
Top Bottom