econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 22,138
- 32,716
Polisi gani hao?. Hawa wanaoua watu ili wachukue pesa za madini?.Polisi ndie anaekufanya unaishi kwa amani mkuu punguza chuki na makasiriko,
Polisi gani hao?. Hawa wanaoua watu ili wachukue pesa za madini?.Polisi ndie anaekufanya unaishi kwa amani mkuu punguza chuki na makasiriko,
Polisi hao hao wapo wema na wapo wabaya, sasa wale wabaya wanapofanya baya haina maana polisi wote ni wabaya, usisahau polisi pia ni binadamu wana utashi, haina na hisia tofauti,Polisi gani hao?. Hawa wanaoua watu ili wachukue pesa za madini?.
Kwani imetwaa wewe?Pumbavu wewe! Usiwaite watu mbwa. Bwege wee!
Polisi yeye nani anae mfanya aishi kwa amani?Polisi ndie anaekufanya unaishi kwa amani mkuu punguza chuki na makasiriko,
Hakuna polisi mwema kwenye helaaPolisi hao hao wapo wema na wapo wabaya, sasa wale wabaya wanapofanya baya haina maana polisi wote ni wabaya, usisahau polisi pia ni binadamu wana utashi, haina na hisia tofauti,
halafu ndo watuambia wamechonganishwa wkt hawatimix wajibu wao badala yake wanaweka matumbo yao mbeleIshu kuna hela hua wanaenda kuokota hapo kiwandani kwa awamu sasa inaonyesha Polisi wa Kibiti njaa kali walienda siku si zamu yao ndio ikaleta balaa na wakienda wanachukua M2-5M ila hmna aliyekufa kwenye iyo ishu ni mambo ya "maokoto"
kabisa mkuuNimeona mahojiano na walioona tukio lile kusema kweli ni aibu mno kwa jeshi la polisi kwa mara nyingine!
Hawa ndio mapolisi tunaotarajia wawe walinzi wa mali zetu wanagombea fedha za rushwa hadi kataka kuuana!
Ndio maana uraiani wananchi hawapendi mazoea na mapolisi kwani ni hatari sana kwa mali zao!
kama hawatumizi wajibu wao wa kiutumishi basi ni mbwa tu nakaziaPumbavu wewe! Usiwaite watu mbwa. Bwege wee!
Naunga mkono hojaKama Wewe ni Polisi jua wewe ni Mbwa tu kama wale muwafugao au kukodi
ndio maana hatuendelei , utomaso mwingi ukiona una amani juwa huna wanachokitaka kutoka kwako , tunataka amani kwa wote wenyr nacho na wasio nacho , polisi wanatakiwa kusaidia TAKUKURU kuzuia rushwa ila wao ndo wanaikuza sasa kuna amani gani hapo?Polisi ndie anaekufanya unaishi kwa amani mkuu punguza chuki na makasiriko,
tunataka wote wawe wema maana ni jukumu la hao unaodai wema kuwadhibiti hao wabaya ila kuwakalia kimya bas na wao wanakuwa wabaya maana hawatimizi kiapo chao cha kuilinda nchi dhidi ya mhalifu yeyote yulePolisi hao hao wapo wema na wapo wabaya, sasa wale wabaya wanapofanya baya haina maana polisi wote ni wabaya, usisahau polisi pia ni binadamu wana utashi, haina na hisia tofauti,
Sijaelewa hoja yako. Unadhani econonist hajui kuna polisi wabaya na wazuri? Umemjibu kama vile ni mtoto mdogo.Polisi hao hao wapo wema na wapo wabaya, sasa wale wabaya wanapofanya baya haina maana polisi wote ni wabaya, usisahau polisi pia ni binadamu wana utashi, haina na hisia tofauti,
Duh sasa ule utaratibu wa kuwa na hela then kuwa na askari wa kukulinda hatarLeo asubuhi kupitia Clouds Fm, nilisikia wakielezea habari ya Polisi Kibiti na Polisi Mkuranga walimiminiana kwa risasi kwenye kiwanda cha Mchina, mwenye taarifa kamili aniunganishe na hiyo taarifa...
kuna waliokula zaidi, wakati mama alisema wale kwa urefu wa kamba zaoIshu kuna hela hua wanaenda kuokota hapo kiwandani kwa awamu sasa inaonyesha Polisi wa Kibiti njaa kali walienda siku si zamu yao ndio ikaleta balaa na wakienda wanachukua M2-5M ila hmna aliyekufa kwenye iyo ishu ni mambo ya "maokoto"
Ndiyo maana linapotokoe jambo kama hili, tunasema wameliabisha jeshi la polisi, hutuwezi kuchambua eti, kuna polisi wema, wakifanya jambo jema, taasisi mzima husifiwa bila kujali kuna wabaya, hivyo isikusumbue sana hii.Polisi hao hao wapo wema na wapo wabaya, sasa wale wabaya wanapofanya baya haina maana polisi wote ni wabaya, usisahau polisi pia ni binadamu wana utashi, haina na hisia tofauti,