nyumbamungu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 997
- 828
Leo asubuhi kupitia Clouds Fm, nilisikia wakielezea habari ya Polisi Kibiti na Polisi Mkuranga walimiminiana kwa risasi kwenye kiwanda cha Mchina, mwenye taarifa kamili aniunganishe na hiyo taarifa...
====
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji Kamishna Msaidizi wa Polisi Protas Bigeyo Mutayoba, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kuongeza kuwa, Kesi ipo inaendelea Mahakama ya Wilaya Mkuranga hivyo hawezi kuliongelea kwa kina.
====
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji Kamishna Msaidizi wa Polisi Protas Bigeyo Mutayoba, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kuongeza kuwa, Kesi ipo inaendelea Mahakama ya Wilaya Mkuranga hivyo hawezi kuliongelea kwa kina.