mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,703
- 37,316
Sijawahi kuona polisi mwenye akili timamu
Division 4 ya 35
aliyekwambia akili timamu ni matokeo ya mtihani,kamtie makofi.
Sijawahi kuona polisi mwenye akili timamu
Division 4 ya 35
Ameomba msaada ,hivyo kama binadamu mwenye akili timamu ni lazima ukadirie hali ya mtu anayeomba msaada ili upate fursa ya kuweza kusaidia binadamu mwenzio. Ukibaki kwenye vitabu kuna uwezekano mkubwa uwezo wako usiweze kutumika kutokana na aproach yako ya vitabuni.Kwani huyu ni nani tunayezungumza nae mpaka awe hayuko sawa kisaikolojia ninapomuliza maswali haya?
Kwenye comment yangu uliyoreply umeona neno mtihani?aliyekwambia akili timamu ni matokeo ya mtihani,kamtie makofi.
Wewe ni askari majuto?Hii stori yote wewe umeipata kutoka wapi? Ulikuwa eneo la tukio au umesimuliwa na mgonjwa? Je wewe ni una uhusiano gani na mgonjwa/ mtuhumiwa?
Kwenye comment yangu uliyoreply umeona neno mtihani?
Nna mashaka na taarifa...km mara ya kwanza kapiga CM kwa mama yake,akazuia muamala usitumwe,akachezea kichapo... kwanini ampgie CM tena ndugu yake mwingine kwa jambo hilo hilo?
Punguza u-much know, sio kila comment una reply zingine ziache zipitesimply hulioni sababu huelewi ulichoandika.
Punguza u-much know, sio kila comment una reply zingine ziache zipite
Kuna mijitu mipopoma kweli humu, hivi ni wapi mtoa ripoti kaandika mtuhumiwa alitoa maelezo hayo akiwa ICU?? muwe mnasoma vizuri sio kukurupuka na kuleta ujuaji tu'
Povu tena? Wala boss' mie nimesoma akiwa mwananyamala hospital ndio aliongea tena kwa taabu, then akafanyiwa ct -scan, ndio akapelekwa Muhimbili na ndio yupo ICU, ,so kwa uelewa wangu Mwananyamala hakuwa ICU, ICU amepelekwa Muhimbili baada ya kuzidiwa na vipimo'mbona puvu!!!kwani majeruhi katoa maelezo akiwa wapi???
Povu tena? Wala boss' mie nimesoma akiwa mwananyamala hospital ndio aliongea tena kwa taabu, then akafanyiwa ct -scan, ndio akapelekwa Muhimbili na ndio yupo ICU, ,so kwa uelewa wangu Mwananyamala hakuwa ICU, ICU amepelekwa Muhimbili baada ya kuzidiwa na vipimo'
Potezea basi boss' hata sijazoea malumbano? Kwani polisi huwa wanashika majeruhi au mtuhumiwa?' my point was that kuwa maelezo ya ndugu muandishi yanasema ,huyo aliyepigwa aliyatoa akiwa mwananyamala ( which is not ICU)' sasa sijui hizo kachumbari unaniletea sijui zimetoka wapi?mwanamyamala hospital emergency wamempokea mgojwa kama mtuhumiwa au majeruhi wa kipigigo cha polisi???
Wewe ni mjinga na mshamba kama Kayafa na BashiteIi
Hii stori imepambwa sana. Huyo mtu mahututi 1% kupona aongee yote hayo!
Polisi Goba, Dar, wajeruhi kwa kipigo, majeruhi yuko ICU, anapumlia mashine, madaktari wasema, kupona kwake utakuwa muujiza wa Mungu....
Jumatano, November 10, 2021, Polisi Goba walimkamata Issa Kassim (20), nyumbani kwao huko Goba kwa madai kwamba ameuziwa TV ya wizi, tukio ambalo mtuhumiwa alikana kulitenda.
Vituo vingi huu waya na ukuta sijui ni formalitiesWanakuwa na waya wao wa nguzo za umeme.
Zile za aluminum.
Kuna kibaka mmoja alipigwa sarara moja la mgongo.
Aliita "mamaaaàaaaa"
Nilivyosikia waya tu nikajua nikweli kila kituo huu waya upo kazi yake ni hiyo sasaInawezekana kuna ukweli ila kwa namna story ilivyo inatia mashaka