Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,360
- 38,869
Wewe umejuaje kama ni ndugu yake?Yan aje kujibu maswali ya watu wasio na msaada? nadhan hawezi kuwa na muda huo wa kupoteza, zaidi ya kuhangaikia maisha ya ndugu yake.
Wewe umejuaje kama ni ndugu yake?Yan aje kujibu maswali ya watu wasio na msaada? nadhan hawezi kuwa na muda huo wa kupoteza, zaidi ya kuhangaikia maisha ya ndugu yake.
Dr gani huyo anayekatisha badala ya faraja kwa ndugu.Story imepikwa sana hata kama Policcm wanachukiwa na jamiiIi
Hii stori imepambwa sana. Huyo mtu mahututi 1% kupona aongee yote hayo!
Two scenarios different equationsKwani we bilble au kitabu Cha history ulikuepo wakati kinaandikwa
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Dah! Had machoz yamenitokaPolisi Goba, Dar, wajeruhi kwa kipigo, majeruhi yuko ICU, anapumlia mashine, madaktari wasema, kupona kwake utakuwa muujiza wa Mungu....
Jumatano, November 10, 2021, Polisi Goba walimkamata Issa Kassim (20), nyumbani kwao huko Goba kwa madai kwamba ameuziwa TV ya wizi, tukio ambalo mtuhumiwa alikana kulitenda.
Baada ya kumkamata waliondoka naye wakidai wanampeleka kituo cha polisi Goba, lakini kabla ya kufika huko kituoni walimuomba awapigie simu
Duh nimetafakari 1% ya kupona na bado mgonjwa akaongea parefu hivyo??? Its either mwandishi katia chumvi nukuu ya mgonjwa au katia chumvi asilimia za mgonjwa kupona.Logically mtu ambaye ana 1% ya kupona hawezi kuongea lolote na pengine yupo kwenye coma yaani 99% amekufa. Kwahiyo huyu jamaa anaongea uongo.
Hawa Polisi wa Goba ndio zao.Muda mwingine polisi wasio waaminifu huwa wanafanya mambo kinyume na maadili yao ya kazi na ikibainika huwa wanashughulikiwa kutokana na sheria zao pia hata sheria za nchi,,, kwahiyo tusihukumu mapema sabab hapa tumepata maelezo ya upande mmja tu cha muhimu hapo ni mashtaka fasta mahakamani haki itapatikana chap tu wakuu tuwe wapole. Kama ni kweli Afande majuto majuto yatakuwa juu yako muda mchache mnatuchafulia jeshi letu bhna,.
Hawa Polisi wa Goba ndio zao.
Huyo Majuto anaweza akakukuta usiku . Akakubeba na akaenda kukupa kichapo ili ukiri kuwa ww ni Mwizi. Umeiba let say TV Na ukishakiri anakuridisha Lockup. Unapigia ndugu zako waje kukutoa kwa hela.
Hajaanza Leo. Anasifika sana kwa skendo za namna hii.
Alaf Raia ambaye umeibiwa mali, ukiona mwizi wako kakamatwa unafurah kwamba mpelelezi kafanya kazi.
Kumbe janja janja, anapewa kesi mtu ambaye hausiki kabisaaa.
Sema kichapo kinamfanya akiri kakuibia ili alipe yaishe.
Weledi kwa Mapolisi weng ni shida sana.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
POLISI SIWAPENDI...
Aisee!!?
Hiv hao polisi wanajionaga wao ni kila kitu dunian et
Inawezekana si ya kutengeneza ila imekuzwa sababu damu ikishavujia humo ndani kwa kipigo na ukapelekwa ICU huwezi kuwa na fahamu ya kueleza yaliyokukuta.Wewe ni mgeni wa hili jukwaa? taarifa zote zinazokuja humu watu huwa wanajitetea walivyo zipata?
Mtu anafikisha ujumbe kwa uchungu na kutafuta haki, unaleta ujuaji!? hiyo story kwa kuisoma inaonekana sio ya kutengeneza, bado unaleta ujuaji!
Na hao ndugu waliopigiwa simu watoe pesa wapo ICU? Hacha mihemko
Hawa Polisi wa Goba ndio zao.
Huyo Majuto anaweza akakukuta usiku . Akakubeba na akaenda kukupa kichapo ili ukiri kuwa ww ni Mwizi. Umeiba let say TV Na ukishakiri anakuridisha Lockup. Unapigia ndugu zako waje kukutoa kwa hela.
Hajaanza Leo. Anasifika sana kwa skendo za namna hii.
Alaf Raia ambaye umeibiwa mali, ukiona mwizi wako kakamatwa unafurah kwamba mpelelezi kafanya kazi.
Kumbe janja janja, anapewa kesi mtu ambaye hausiki kabisaaa.
Sema kichapo kinamfanya akiri kakuibia ili alipe yaishe.
Weledi kwa Mapolisi weng ni shida sana.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app