Polisi jijini Dar wamjeruhi mtuhumiwa, yupo mahututi ICU

Nna mashaka na taarifa...km mara ya kwanza kapiga CM kwa mama yake,akazuia muamala usitumwe,akachezea kichapo... kwanini ampgie CM tena ndugu yake mwingine kwa jambo hilo hilo?
Hii taarifa inawezekana ikawa na ukweli, ila kila msimuliaje uwa na mhemko wa kuongeza maneno kwa uzoefu wangu hili linawezekana kabisa cha msingi ndugu wajitahidi mhanga apate nafuu mengine wamwachie mungu hakuna watakachoweza kufanya hapo ni kupoteza pesa tuu hakuna haki watakayopata kijana apate nafuu maisha yaendelee kwisha
 
Polisi Goba, Dar, wajeruhi kwa kipigo, majeruhi yuko ICU, anapumlia mashine, madaktari wasema, kupona kwake utakuwa muujiza wa Mungu....

Jumatano, November 10, 2021, Polisi Goba walimkamata Issa Kassim (20), nyumbani kwao huko Goba kwa madai kwamba ameuziwa TV ya wizi, tukio ambalo mtuhumiwa alikana kulitenda.

Baada ya kumkamata waliondoka naye wakidai wanampeleka kituo cha polisi Goba, lakini kabla ya kufika huko kituoni walimuomba awapigie simu ndugu zake waweze kumuokoa.
Duuh!
Mi-5 tena🙄
 
Kwa haya waliyotenda hao wakamatwe wafanywe mfano na askari wote wajue hili. Ni mfano mbaya sana.
 
Potezea basi boss' hata sijazoea malumbano? Kwani polisi huwa wanashika majeruhi au mtuhumiwa?' my point was that kuwa maelezo ya ndugu muandishi yanasema ,huyo aliyepigwa aliyatoa akiwa mwananyamala ( which is not ICU)' sasa sijui hizo kachumbari unaniletea sijui zimetoka wapi?
NB.case closed, sioni haja ya malumbano na sijazoea, nilinukuu tu maelezo ya ndugu mtoa habari
Samahni mkuu ilo swali alilouliza ni muhimu sababu polisi sometime wanaweza kujaza ripoti tofaut na kilichotokea ili wajilinde wenyewe sasa kama una ufahamu na ilo ungetuambia yani wamempeleka kama mtuhumiwa au mhanga wa kipigo ,, maana hapo inabdi waseme ni mhanga wa kipigo ndani ya kituo chao ata mkifungua kesi mtakua na pakuanzia ila kama watalindana kituoni kwao wanaweza kusema ni mtuhumiwa na wakampa kesi nyingine zisizostahili au hulijui jeshi letu la polisi mda mwingine janja janja nyingi sana usipokua makini tu unaliwa kichwa kimasikhara.
 
Potezea basi boss' hata sijazoea malumbano? Kwani polisi huwa wanashika majeruhi au mtuhumiwa?' my point was that kuwa maelezo ya ndugu muandishi yanasema ,huyo aliyepigwa aliyatoa akiwa mwananyamala ( which is not ICU)' sasa sijui hizo kachumbari unaniletea sijui zimetoka wapi?
NB.case closed, sioni haja ya malumbano na sijazoea, nilinukuu tu maelezo ya ndugu mtoa habari
Usisumbuane kujibishana na izo mbwa...ukute NDo haohao
 
Polisi Goba, Dar, wajeruhi kwa kipigo, majeruhi yuko ICU, anapumlia mashine, madaktari wasema, kupona kwake utakuwa muujiza wa Mungu....

Jumatano, November 10, 2021, Polisi Goba walimkamata Issa Kassim (20), nyumbani kwao huko Goba kwa madai kwamba ameuziwa TV ya wizi, tukio ambalo mtuhumiwa alikana kulitenda.
Akina Majuto, walizaliwa na kupewa malezi murua na Mama zao, kwa vigezo vya Sirro, Ila akina Hamza Mama zao hawakuwafunza ipasavyo!
 
Samahni mkuu ilo swali alilouliza ni muhimu sababu polisi sometime wanaweza kujaza ripoti tofaut na kilichotokea ili wajilinde wenyewe sasa kama una ufahamu na ilo ungetuambia yani wamempeleka kama mtuhumiwa au mhanga wa kipigo ,, maana hapo inabdi waseme ni mhanga wa kipigo ndani ya kituo chao ata mkifungua kesi mtakua na pakuanzia ila kama watalindana kituoni kwao wanaweza kusema ni mtuhumiwa na wakampa kesi nyingine zisizostahili au hulijui jeshi letu la polisi mda mwingine janja janja nyingi sana usipokua makini tu unaliwa kichwa kimasikhara.
Mkuu hata sihusiki na tukio hilo, na sijui chochote kuhusu criminal investigation, nilichojaribu kuelezea ni kuwa kwa mujibu wa maelezo hayo sio kweli huyo muhanga aliyatoa akiwa ICU( kama watu walivyohoji) nilichojaribu kufafanua ni kwamba nimesoma na kuelewa maelezo aliyatoa akiwa Mwananyamala before ya kupelekwa ICU, nilikuwa najibu tu hoja ya waliohoji kuwa aliwezaje kuongea akiwa ICU
 
Mkuu hata sihusiki na tukio hilo, na sijui chochote kuhusu criminal investigation, nilichojaribu kuelezea ni kuwa kwa mujibu wa maelezo hayo sio kweli huyo muhanga aliyatoa akiwa ICU( kama watu walivyohoji) nilichojaribu kufafanua ni kwamba nimesoma na kuelewa maelezo aliyatoa akiwa Mwananyamala before ya kupelekwa ICU, nilikuwa najibu tu hoja ya waliohoji kuwa aliwezaje kuongea akiwa ICU
Basi sawa mkuu ila kwa wanaohusika kwa huyo kijana inabdi watambue hilo ili wasije pewa madesa yasiomuhusu kijana wao,,, polisi wana mengi sana na wanalindana haswa jamaa
 
Hili Jambo la raia kupigwa limefaulishwa na mahakama kuu hivyo tusibili maamuzi mahakama ya rufaa kwenye kesi ya Freeman aikaeL mbowe
 
Yani unafosi rushwa katika mazingira yasiyowezekana?

Zamani tulizoea unakutwa na kosa then ndio wanahitaji rushwa, ila now days unapewa kosa sio lako, then wanaomba mpunga.
Mahakama kuu imehalalisha Jambo Hilo kupitia maamuzi yakutumia akili binafsi za jaji aliyepewa ujaji kiongozi aliyeamua uamuzi kwenye kesi ndogo ndani ya kesi kubwa
 
Logically mtu ambaye ana 1% ya kupona hawezi kuongea lolote na pengine yupo kwenye coma yaani 99% amekufa. Kwahiyo huyu jamaa anaongea uongo.
ukiambiwa hii cancer yako uwezekano wa kupona ni asilimia moja tu utakua unaweza kuongea au huwez? kwe issue ya medical iko tofauti kabisa uwezekano mdg wa kuishi na mahututi inaweza kuwa tofauti kabisa, kuna baadhi ya situation mgonjwa anakata roho wakati mlikua mnapiga naye stori
 
Habari za asubuhu ndugu,

Nimefungua redio Clouds nimekuta mazungumzo ya Kingai na mtangazaji juu ya tukio la askari polisi kumtesa kijana Isa na kumtoboa koo. Mwenye habari kamili atuambie maana tukio limetokea Dar es Salaam. Inasemekana Isa ameachiwa na polisi kwa kile walichoeleza kwa mama yake kuwa "Mchukue mtoto wako tumemsamehe" sijajua mamlaka ya kusamehe polisi wametoa wapi. Maelezo ya kingai yamejikita kwa kuwatetea zaidi Polisi na hajaona kosa la kutobolewa kwa koo la Isa ila amejikita zaidi kuelezea watu waache kufanya uhalifu.

Baada ya kumtoboa koo Isa ,mama yake ambae yeye na Isa wanaishi kwenye chumba kimoja walichopanga wakarudi nyimbani na kwenda hospital kwa matibabu.

====

Rejea mada Unyanyasaji katika vituo vya polisi

 
Back
Top Bottom