Consigliere
Platinum Member
- Sep 9, 2010
- 12,692
- 26,584
Kila mtu anajua kuwa mishahara ni midogo mno
kwa polisi wa Tanzania hadi wengine kudai rushwa
na hata kushiriki uhalifu ili wapate kipato
Sasa ghafla bin vuuu kuna wimbi la watu ambao wanaitwa
'polisi jamii' wanavaa uniform na wamesambaa jiji zima
kwa Daresalaam....
nasikia kwamba hawa watu hawalipwi ni wanajitolea
haingii akilini mtu kujitolea siku nzima au wiki nzima
kufanya kazi ya kujitolea bila malipo
je hawa watu wanalipwa?
na kama hawalipwi wanaishije?
na hatari za kuwa na hili jeshi lisilo rasmi ni zipi?
sasa naona wameanza kukamata magari barabarani pia
what next huko mbeleni?
Wanasema ukiwa umeajiri kondakta na dereva halafu huwalipi vizuri na hawalalamiki,basi watakuwa wanajilipa wenyewe. Mwisho utalikuta gari /basi lako juu ya mawe kama sio gereji likiwa taabani.Kila mtu anajua kuwa mishahara ni midogo mno
kwa polisi wa Tanzania hadi wengine kudai rushwa
na hata kushiriki uhalifu ili wapate kipato
Sasa ghafla bin vuuu kuna wimbi la watu ambao wanaitwa
'polisi jamii' wanavaa uniform na wamesambaa jiji zima
kwa Daresalaam....
nasikia kwamba hawa watu hawalipwi ni wanajitolea
haingii akilini mtu kujitolea siku nzima au wiki nzima
kufanya kazi ya kujitolea bila malipo
je hawa watu wanalipwa?
na kama hawalipwi wanaishije?
na hatari za kuwa na hili jeshi lisilo rasmi ni zipi?
sasa naona wameanza kukamata magari barabarani pia
what next huko mbeleni?
Haijitoshelezi
maswali yangu hayajibiwi humo
Kila mtu anajua kuwa mishahara ni midogo mno
kwa polisi wa Tanzania hadi wengine kudai rushwa
na hata kushiriki uhalifu ili wapate kipato
Sasa ghafla bin vuuu kuna wimbi la watu ambao wanaitwa
'polisi jamii' wanavaa uniform na wamesambaa jiji zima
kwa Daresalaam....
nasikia kwamba hawa watu hawalipwi ni wanajitolea
haingii akilini mtu kujitolea siku nzima au wiki nzima
kufanya kazi ya kujitolea bila malipo
je hawa watu wanalipwa?
na kama hawalipwi wanaishije?
na hatari za kuwa na hili jeshi lisilo rasmi ni zipi?
sasa naona wameanza kukamata magari barabarani pia
what next huko mbeleni?
Niisivyo mimi, hawa watu hawana maslahi yoyote ya maana ila kunakupoozwa kidogo, kuna mchango watu wanatozwa na wajumbe wao kwenye maeneo yao ya kuishi na hawa watu wanachukuliwa kulinda sehemu husika na kupewa kitu kidogo ingawa si ajira as we can col it.
Hawa watu hawajajitolea, wengi wao hawana hata ivo vibarua, so huponea hapo kwa kupata chochote kitu. Dunia ya sasa ni ngumu mtu kujitolea muda wake wote for others bro.
Hatari ya kuwa na hawa watu, kwanza wengi wao wanachukuliwa na kufanya polisi jamii huku wakiwa hawana dhamira ya kuwa polisi jamii. Wengi wanawaza pesa na mambo mengi maovu. Mtu wa aina iyo, atapata nafasi nzuri ya kufanya uovu wake kwa urahisi huku wengine wakidhani ni polisi jamii mfano kuiba, kudhulumu nk.
Kitakachoendelea huko mbeleni, hawa vijana wataongezeka na kusababisha ongezeko la vijana wababe kwenye jamii za watu. Wataweza kufanya maovu mengi huku wakijifunika kwenye shuka la polisi jamii.
Hivo ndivyo nionavyo mie.
Wale tunatozwa wa sungu sungu
Haijitoshelezi
maswali yangu hayajibiwi humo