Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
hata mitetea ni independent.Mkuu, JF sio ya CDM kosa langu mimi kusema FFU wanafanya kazi kisasa ndio nipigwe Ban? Kwanza mimi sio CCM mimi ni Independent Thinker
JF sio ya mitetea.
hata mitetea ni independent.Mkuu, JF sio ya CDM kosa langu mimi kusema FFU wanafanya kazi kisasa ndio nipigwe Ban? Kwanza mimi sio CCM mimi ni Independent Thinker
Siku zote unapomsifia Jk, wewe ni mtoto wa kike???
Hongera jeshi la polisi kwa kufanya kazi zenu kisasa na kwa makini.
Hii ya kumwaga vipeperushi nimeona hata Marekani huwa wanatumia huo utaratibu kwa kuhofia vurugu.
Navyowajua FFU ukileta fujo utasikitika na nafsi yako utakavyochezea kipigo
hata mitetea ni independent.
JF sio ya mitetea.
rejea post zako zilizopita, kwa maneno haya una maana kwamba jk ni demu sio. acha hizo wewe.
Ni mwiko kwa mtoto wa kiume kumsifia mwanaume mwenzako!
Kwa hiyo wewe kila atakacho sema Mwanakijiji unakikubali