Mkuu Mamuya, haya mambo mazito yanapaswa kupelekwa kwenye vyombo vya kimataifa na kwa mabwana zao kama US na nchi zingine wenyewe wanazoita wahisani. Matamko ya Manzese hayataweza kuwashtua hawa wakoloni weusi.Unyanyasaji huu utafika kikomo tu na haki itapatikana
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums