G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,555
- 35,880
Inaonekana ukiwa mwana CHADEME kwa sasa ni zaidi ya gaidi. Hapa wana CHAEMA walikuwa wanaenda kumlaki Mbunge wao anayerejea kuja kutoa shukrani za uaminifu kwao sasa inaonekana wezuiwa.
Swali, mbona kwa CCM haya ni ya kawaida? Hivi ni moja ya vitu vinavyomfanya Rais Magufuli kuonekana kuendesha utawala katili dhidi ya wale wanaomkosoa na kupinga mwenendo wake wa kiuongozi.
Magari yanakaguliwa na askari wenye silaha na inaonekana anayesakwa ni aliyevalia sare ya CHADEMA. Hatutafika salama kwa hali hii.
Swali, mbona kwa CCM haya ni ya kawaida? Hivi ni moja ya vitu vinavyomfanya Rais Magufuli kuonekana kuendesha utawala katili dhidi ya wale wanaomkosoa na kupinga mwenendo wake wa kiuongozi.
Magari yanakaguliwa na askari wenye silaha na inaonekana anayesakwa ni aliyevalia sare ya CHADEMA. Hatutafika salama kwa hali hii.