Polisi Arusha wafanya unyama wa Kutisha

Polisi Arusha wafanya unyama wa Kutisha

Usijifanye hujui yako mambo yakusingiziwa pia,ata hivyo mtu kua kibaka adhabu yake sio kuuliwa kwa risasi.mahakama na magereza ziko kazi gani sasa.Jeshi la polisi halina uadilifu wowote wakutetewa.Wakati mwingine usijifanye hayawezi kukukuta hii ni dunia ndugu.
Wangetaka yasimkute haya wangemkanya ndugu yao asiwe kibaka.... hawakumdunza, sasa amefunzwa na ulimwengu!! RIP kibaka...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo kwenye point ya pili:
Kama alitaka kung'ang'ania silaha maana yake ni kwamba anajua kuitumia vizuri(tayar jambazi)na pia ishu ya silaha its all about timing haijalishi kituoni wapo askari wangap, ukiwahiwa tu ujue ndo umekwenda ivo...sasa ulitegemea askari wampe hiyo chance! hell no!
Kikubwa hao ndugu wajutie kuwa na ndugu kibaka mana inawezekana ni laana,dua mbaya na malalamiko ya anaowakaba huko mtaan. Hatimaye ulimwengu umemfunza.
Kwanza kama unasapoti tukio hili unatoa pole ya nini Kwa familia? Unafanya unafiki.

Pili, hakukuwa na njia nyingine ya polisi kumdhibiti kibaka (hata kama alikuwa anang'ang'ania silaha kama unavyotaka tuamini)? Ni kibaka sio jambazi kweli? Ndani ya kituo cha polisi ambako kuna zaidi ya Askari kumi Kwa uchache na ghala la kutunzia aina mbali mbali za silaha ambazo wamejifunza kuzitumia dhidi ya vibaka?

Mkuu muda mwingine tujaribu kuacha mahaba, tuwe binadamu kama Mungu alivyotaka tuwe. Kesho mdogo wako akiuliwa hivi utatoa kauli kama hizi?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
So kama alikuwa anang'ang'ania silaha alitegemea nini zaidi ya askari kujilinda? Sometimes tusiwe mashabiki tu. Poleni kwa familia.
Na yule aliyeuawa kwenye ibada kanisani alikuwa anang'ang'ania bunduki?
 
Hii awamu si ajabu askari hato wajibishwa kivyovyote vile swali langu ili upige risasi inatakiwa ikokiwe je aliekuwa ameikamatia kwenye trigger ni nani?
 
Ushawahi kuwa kibaka!??? Mana naona unajibia nafsi za watu
hakuna kibaka anaeweza kupora siraha akiwa polisi kama angekua na ujasiri huo asingefika polisi...aisee tunakoenda siko vikesi vya ukibaka unamfyatulia mtu risasi ukiwa kituoni ila ishu ya dhahabu mnatumia Gari ya polisi kusindikiza Mali ya ujanja ujanja na king' ora juu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha zako wewe
Chura mwenyew anapenda maji lakin sio ya moto...km wew huna ujasiri kuna wenzio huo ujasiri wanao

unakataza watu kushabikia alafu ww unashabikia utetezi wa kamanda una uhakika gani?

ivi ujasiri wa raia kung"ang"ania silaha tena kituoni anautoa wapi?

kifupi akili yako unaitumia kwenda chooni na kuvuka barabara

polisi wa tz lini wameanza kusema ukweli, unajua kisa cha wafanyabiashara wa mahenge. ama aqulina

acha ujinga



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naiomba Jamiiforums ianzishe jukwaa maalum la kuratibu na kutunza kumbukumbu ya raia wote wanaotekwa, wanaoteswa na wanaouawa ama na vyombo vyetu vya usalama au kwa amri ya viongozi wao. Iko siku wahusika wote watawajibishwa kwa namna moja au nyingine.
 
Sitaki kuamini kama kibaka anaweza kumnyang"anya askari bunduki tena ndani yakituo, hatakama watanzania ni wavivu kufikiri lakini hili haliingii akilini kabisa, ina maana kwenye hicho kituo kulikuwa na askari 1 tuu? Umtoe toka uraiyani mpaka kituoni ndio aje kufanya vurugu hapo, hahaha masawe lete kirikuu kimoja hapo nijifurahishe kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukishakuwa kibaka maana yake wew huna akili nzuri tena na hakuna kibaka asiyetumia kilevi cha aina yoyote. Kukaba ni kazi ambayo mtu anaifanya akiwa hana roho ya kawaida na ndo mana kibaka anaweza kukufanya xhochote akiona unamwekea wingu kwenye kutimiza kazi yake. Hilo unalijua, sasa kwanini ushangae kutaka kupokonya silaha wakat unajua kabisa kibaka hana akili sawasawa km ulizonazo wew za kuwaza hapa nilipo ni kituoni ata nfanye nin siwezi kuchomoka!
Mimi nnahakika kwa kua kaka yake kasema ameshuhudia mdogo ake akipigwa ya kifua.lkn kibaka hana ujasiri wa kufanya hivo hasa akiwa kituoni,pale kuna askari wengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom