sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,524
- 863
Inatisha........, kila sifa jeshi letu la polisi linazo. kabla ya wingu la mauaji ya mwandishi (shujaa) MWANDOSI halijafutika juzi askari mwingine toka tazara amekamatwa na wenzake, wakiiba mali toka zambia huko bandalini,na wengine wakakimbia na madumu ya petroli. ili hali ya jeshi hili iboreke ninini la kufanya watanzania wenzangu.....mbona ni kuchefuchefu kitupu jeshi hili.................?