Polisi acheni uongo juu ya Padri aliyetekwa

Polisi acheni uongo juu ya Padri aliyetekwa

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
17,177
Reaction score
41,623
Najua mambo mengi kuhusu kanisa Roman .

Kwanza mapadre au Mafather maisha Yao yote ya kitume yanagharamiwa na Kanisa, kila kitu anachokuwa nacho Padre anakuwa kapewa na Kanisa.

Sasa hayo Madeni yametoka wapi? Maana kama ni hela za Nini?. Kila kanisa PAROKIA Kuna nyumba za mapadri.

Ukitumia Common sense haingii akilini.!!

Polis wa Tanzania akili waliziacha wapi ?
Maana
Jeshi la Polisi mkoani Iringa limesema Padri wa Kanisa Katoliki Jimbo la Mafinga, Jordan Kibiki hakutekwa kama ambavyo alieleza kwenye mtandao wa WhatsApp, isipokuwa alitoa taarifa za uongo baada ya kukabiliwa na madeni makubwa.

Anyway Rais wenu amesoma Pakistan na nchi inapelekwa ki pakistan Pakistan


Britanicca
 
Hii ni hatari na kama wamejua ametoa taarifa za uongo sababu ya madeni, basi hawashindwi kujua hata huko alikojificha kukwepa madeni, wakamkamate au wao ndo wanalinda matapeli?
 
Inasikitisha sana labda tusubiri kauli ya askofu wake wa Mafinga... Atoe tamko na asisite
 
Jeshi linaongozwa na waliofeli unategemea nini?
ufala wa kwanza tulioaminishwa ni kuaminu kwamba common sense inatoka darasani,ndio maana wasomi nchi hii hata wakifanya upuuzi inaonekana wako kwenye research.
 
Siongelei kuhusu hii ishu ila Kuna padri namjua ana mali zake binafsi na biashara nyingi tu hapa Iringa.
By the way RC wana msemaji wao wewe kuingilia hili suala ni kiherehere tu.
Je msemaji wao akijitokeza na kusema ni kweli?
 
Najua mambo mengi kuhusu kanisa Roman .

Kwanza mapadre au Mafather maisha Yao yote ya kitume yanagharamiwa na Kanisa, kila kitu anachokuwa nacho Padre anakuwa kapewa na Kanisa.

Sasa hayo Madeni yametoka wapi? Maana kama ni hela za Nini?. Kila kanisa PAROKIA Kuna nyumba za mapadri.

Ukitumia Common sense haingii akilini.!!

Polis wa Tanzania akili waliziacha wapi ?
Maana
Jeshi la Polisi mkoani Iringa limesema Padri wa Kanisa Katoliki Jimbo la Mafinga, Jordan Kibiki hakutekwa kama ambavyo alieleza kwenye mtandao wa WhatsApp, isipokuwa alitoa taarifa za uongo baada ya kukabiliwa na madeni makubwa.

Anyway Rais wenu amesoma Pakistan na nchi inapelekwa ki pakistan Pakistan


Britanicca
Ivii
Pakistan Ina nyuklia power...ivi kumbe na Pakistan ni shithole county..
 
Najua mambo mengi kuhusu kanisa Roman .

Kwanza mapadre au Mafather maisha Yao yote ya kitume yanagharamiwa na Kanisa, kila kitu anachokuwa nacho Padre anakuwa kapewa na Kanisa.

Sasa hayo Madeni yametoka wapi? Maana kama ni hela za Nini?. Kila kanisa PAROKIA Kuna nyumba za mapadri.

Ukitumia Common sense haingii akilini.!!

Polis wa Tanzania akili waliziacha wapi ?
Maana
Jeshi la Polisi mkoani Iringa limesema Padri wa Kanisa Katoliki Jimbo la Mafinga, Jordan Kibiki hakutekwa kama ambavyo alieleza kwenye mtandao wa WhatsApp, isipokuwa alitoa taarifa za uongo baada ya kukabiliwa na madeni makubwa.

Anyway Rais wenu amesoma Pakistan na nchi inapelekwa ki pakistan Pakistan


Britanicca
Ivii
Pakistan Ina nyuklia power...ivi kumbe na Pakistan ni shithole county..
 
Back
Top Bottom