britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 17,177
- 41,623
Najua mambo mengi kuhusu kanisa Roman .
Kwanza mapadre au Mafather maisha Yao yote ya kitume yanagharamiwa na Kanisa, kila kitu anachokuwa nacho Padre anakuwa kapewa na Kanisa.
Sasa hayo Madeni yametoka wapi? Maana kama ni hela za Nini?. Kila kanisa PAROKIA Kuna nyumba za mapadri.
Ukitumia Common sense haingii akilini.!!
Polis wa Tanzania akili waliziacha wapi ?
Maana
Jeshi la Polisi mkoani Iringa limesema Padri wa Kanisa Katoliki Jimbo la Mafinga, Jordan Kibiki hakutekwa kama ambavyo alieleza kwenye mtandao wa WhatsApp, isipokuwa alitoa taarifa za uongo baada ya kukabiliwa na madeni makubwa.
Anyway Rais wenu amesoma Pakistan na nchi inapelekwa ki pakistan Pakistan
Britanicca
Kwanza mapadre au Mafather maisha Yao yote ya kitume yanagharamiwa na Kanisa, kila kitu anachokuwa nacho Padre anakuwa kapewa na Kanisa.
Sasa hayo Madeni yametoka wapi? Maana kama ni hela za Nini?. Kila kanisa PAROKIA Kuna nyumba za mapadri.
Ukitumia Common sense haingii akilini.!!
Polis wa Tanzania akili waliziacha wapi ?
Maana
Jeshi la Polisi mkoani Iringa limesema Padri wa Kanisa Katoliki Jimbo la Mafinga, Jordan Kibiki hakutekwa kama ambavyo alieleza kwenye mtandao wa WhatsApp, isipokuwa alitoa taarifa za uongo baada ya kukabiliwa na madeni makubwa.
Anyway Rais wenu amesoma Pakistan na nchi inapelekwa ki pakistan Pakistan
Britanicca