Police Tanzania Babati Manyara ni changamoto sana

Police Tanzania Babati Manyara ni changamoto sana

Garmaaa

Member
Joined
Oct 15, 2024
Posts
82
Reaction score
86
Kwa siku tatu au nne kwa wiki wanapiga Risasi juu katikati ya mji! bila kujali uwepo Watu wagonjwa katika maeneo yanayo wazunguka. Hata kama ni mazoezi ni vema wakafanyie huko nje na sio kuzua hofu hapa mjini.
 

Attachments

  • video_20250329_090749.mp4
    98.6 MB
Kwa siku tatu au nne kwa wiki wanapiga Risasi juu katikati ya mji! bila kujali uwepo Watu wagonjwa katika maeneo yanayo wazunguka. Hata kama ni mazoezi ni vema wakafanyie huko nje na sio kuzua hofu hapa mjini.
Ngoja waje…
 
Labda wamemuona huyo Hamasness wakaona washtue kidogo kuonesha uwepo wao
 
Kwa siku tatu au nne kwa wiki wanapiga Risasi juu katikati ya mji! bila kujali uwepo Watu wagonjwa katika maeneo yanayo wazunguka. Hata kama ni mazoezi ni vema wakafanyie huko nje na sio kuzua hofu hapa mjini.
CHADEMA wanaandamana huko? No reform, no election?
 
Kisa mademu wa Ze Kings na Olimpic ....Mbongo teehh😃😃😃
Kunyang'anywa demu....

Masase ya nini kwani Goma ni mbali

Matisho !!
 
Makamanda wa chadema huwa tunakubaliana tuko tayari kufa ila tukiskia risasi tu tunalalamika kwanini?
 
Majeshi yeti hua jawajui wagonjwa, wanapopiga risasi labda kwny misiba ndio hua wanatangaza
 
Labda wamemuona huyo Hamasness wakaona washtue kidogo kuonesha

Labda wamemuona huyo Hamasness wakaona washtue kidogo kuonesha uwepo wao
Hata Majambazi wanapiga Risasi juu kuonesha uwepo wao! Sidhani nchi hii bado kuna Watu wasio tambua uwepo wa Police. Muhimu waangalie sehemu nyingine nje ya mji pasipokuwa na raia wakapigie hizo Risasi
 
Back
Top Bottom