hawa hawachelewi kuchoma kusudi kupoteza nyaraka fulani muhimu sina imani nao kabisa
upo sahihi mkuu.
hawa hawachelewi kuchoma kusudi kupoteza nyaraka fulani muhimu sina imani nao kabisa
una akili sana mkuu na sio mnafiki weweBora Kova nae aungulie humo humo
Huu mwendelezo wa ajali za moto mwezi huu unanishangaza: Jengo la PPF Tower huko Dar, Meli ya MV Victoria huko Mwanza, Central Police Dar, next??? Lakini kwa nini hatuwi na mikakati endelevu ya kuzuia majanga kama haya?
Sio vizuri kumuombea mtu mabaya mwanajamii. Au weye ni mhalifu niniBora Kova nae aungulie humo humo