Wambugani
JF-Expert Member
- Dec 8, 2007
- 1,757
- 277
Hilo jengo zege tupu sijui motowatokea wapi yarabi
Mahabusu hawajafunguliwa?
Hilo jengo zege tupu sijui motowatokea wapi yarabi
... ni motoChanzo ni nini mkuu?
acha uongo wewe kaka! mbona nimetoka luch police central canteen 15 minutes! sikuona moto wowoteSource JF Ni police iliyopo hapa opposite na stesheni. More news to come
Source JF
Ni police iliyopo hapa opposite na stesheni.
More news to come
Source JF
Ni police iliyopo hapa opposite na stesheni.
More news to come
hakuna moto jamani mimi nashinda full time sokoine drive !leo sijaona gari yeyote ya fire! ata nikichungulia nje naona shughuli za polisi zinaendelea!
naomba moderator ushughulikie watu wanaoleta habari za uzushi hapa jf!
mawazo yako yamevaa ander waer ya siasa so kaa mbal kwenye mambo yamaana wenye akil wajadili sheatintelejensia yao leo imeshidwa kazi! Duh
Labda ndiye aliyeuanzisha, wanafanya tathmini ya uwezo walionao. Mi kama fire wala hapo siamshwi.Bora Kova nae aungulie humo humo
Kitu kizito kitakuwa kimerushwa hapo.
Na wewe unakula sehemu za ovyo namna hiyo kwa ajili ya kupokelea rushwa za mafili na madawa ya kulevya?.Wewe lazima ni jambazi ,mla rushwa mwandamizi.Kanteeni nyingi za polisi ni vijiwe vya kugawana rushwa kutoka kwa watuhumiwa wa uhalifu.acha uongo wewe kaka! mbona nimetoka luch police central canteen 15 minutes! sikuona moto wowote
Ulitegemeaakuambie nini? Moto ulikuwa ndio unaanza haukuwa mkubwa fuatilia vizuriNimempigia mmoja wa wanaofanya kazi hapo amekanusha. Hii imekaaje?
Msangi vp hajaungua?