The Palm Beach
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 4,117
- 11,106
Umemaliza kulalamika..??Hii aina ya siasa anayofanya polepole ndio aina ya wanasiasa wengi Tanzania ambao hawana malengo wanatumia majina yao kuwashawiahi na kuwadanganya WANANCHI kuwaminisha kuhusiani na gharama za nishati na wanaamini kwamba WANANCHI hawawezi kutafuta uthibitisho wowote juu ya propaganda zao
Au ndo unatoa taarifa kuwa unakwenda kutafuta uthibitisho wa uongo wake siyo..🫣?
Karibu, na fanya haraka otherwise ukichelwa utakula viboko 24 unapokuja na 24 tutakapokurudisha ulikotoka..!!