Polepole ni "double agent" wa CCM mjihadhari nae

Polepole ni "double agent" wa CCM mjihadhari nae

HAKI KWA WOTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2022
Posts
2,691
Reaction score
2,303
Siyo wa kwanza kufanya kazi hiyo kuna kina Mtikila,Slaa, Mbowe, Sumaye, Mrema, Zitto, Lowasa, Kingunge, Rungwe, Lissu,nk.

Mapinduzi ya kweli kwa watanzania yatatoka kwa VYAMA VYA WAFANYAKAZI na WAKULIMA watakapochoka siyo kwa wanasiasa na viongozi wa dini kwani wao ndiyo wafanyabiashara na wanawanunua masikini na wasio na ajira
 
Hapana mimi siyo great thinker ila wewe na mamako ndiyo ma-great thinker,shit!
Exactly 💯 hujakosea sisi ndiyo great thinker ndiyo maana tunawatawala nyie nyumbu wapumbavu kabsaa

Tafuta chimbo ulambe asali acha wivu
Mama atawale hadi 2035
 
Siyo wa kwanza kufanya kazi hiyo kuna kina mtikila,silaa,mbowe,sumaye,mrema,zitto,lowasa,kingunge,rungwe,lissu,nk.

Mapinduzi ya kweli kwa watanzania yatatoka kwa VYAMA VYA WAFANYAKAZI na WAKULIMA watakapochoka siyo kwa wanasiasa na viongozi wa dini kwani wao ndiyo wafanyabiashara na wanawanunua masikini na wasio na ajira
Hakuna kitu kama hicho, acha ujinga wako
 
Uko sawa mapinduzi yeyote ya kweli hayawezi kuletwa na wanasiasa wapiga domo
Bolshevik party iliyofanya october revolution huko Urusi ililetwa na Wafanyakazi na wakulima
Siku wafanya kazi na Wakulima wakiweka mgomo dunia hii itayumba sana.
 
Kwa hiyo kwa ushauri wako,wanasiasa wakae kimya tu kwa kua ni dabo ajenti,wasubiri tu hadi wafanyakazi na wakulima waibuke!!, 😂😂😄😭, ubarikiwe.
 
Na wewe unajiita great thinker?
Umewazaa weeee ukaja na hiyo conclusion?
Ok sawa
Tafuta chimbo ulambe asali tuu achana na hizi kelele uchwara utateseka sanaa
Mama atawale hadi 2035
unaonekana we ni chawa wa kiwango cha chini sana mjuba, umekurupuka
 
Watu wanataka akina traore nyie mnaleta hadithi za wafanyakazi na wakulima. Kina traore ndio chaguo jema kwa sasa, wale hawana mzaha na rasilimali za nchi
 
Sasa mbona unatukana hovyo, tutakuteteaje? Acha majibu ya shari
 
Siyo wa kwanza kufanya kazi hiyo kuna kina Mtikila,Slaa, Mbowe, Sumaye, Mrema, Zitto, Lowasa, Kingunge, Rungwe, Lissu,nk.

Mapinduzi ya kweli kwa watanzania yatatoka kwa VYAMA VYA WAFANYAKAZI na WAKULIMA watakapochoka siyo kwa wanasiasa na viongozi wa dini kwani wao ndiyo wafanyabiashara na wanawanunua masikini na wasio na ajira
Vyama vya wafanyakazi vinavyoongozwa na Chawa wa CCM Nyamhokya?
 
Na mbowe ilikuaje? Ndio maana niko mbali na siasa napiga business yangu al hamdu liLlah familia yangu inakula, maisha yanaenda. Mafisadi na matapeli wa kisiasa acha waendelee kula moto
unakuja hapa kufanya nin sasa?
Mbowe watu wanam misconstrue wrongly! Huwezi kukaa gerezani miezi 8 ukasema huyu alikuwa mshirika wa samia! Never on earth! Sema Mbowe alikuwa bado anahitaji madaraka ndani ya CDM. The scale turned in an opposite direction, akaamua kujitoa na akikumbuka historia ya kampeni ya matusi.....
 
Siyo wa kwanza kufanya kazi hiyo kuna kina Mtikila,Slaa, Mbowe, Sumaye, Mrema, Zitto, Lowasa, Kingunge, Rungwe, Lissu,nk.

Mapinduzi ya kweli kwa watanzania yatatoka kwa VYAMA VYA WAFANYAKAZI na WAKULIMA watakapochoka siyo kwa wanasiasa na viongozi wa dini kwani wao ndiyo wafanyabiashara na wanawanunua masikini na wasio na ajira
Double agent ukimaanisha nini mkuu?

Wote uliowataja hapo hakuna aliyediriki kuanika madudu kama Polepole.
 
Na mbowe ilikuaje? Ndio maana niko mbali na siasa napiga business yangu al hamdu liLlah familia yangu inakula, maisha yanaenda. Mafisadi na matapeli wa kisiasa acha waendelee kula moto
Wengi watakutukana hapa ni kwasababu unacho kisema si matamanii yao kukisikia, ukweli ni kwamba wakijua historia ya uazishaji wa vyama vingi nchi hii wasinge pata shida.
 
Back
Top Bottom