Polepole ni "double agent" wa CCM mjihadhari nae

Polepole ni "double agent" wa CCM mjihadhari nae

Hakuna kitu kama hicho, acha ujinga wako

"Uko sawa mapinduzi yeyote ya kweli hayawezi kuletwa na wanasiasa wapiga domo
Bolshevik party iliyofanya october revolution huko Urusi ililetwa na Wafanyakazi na wakulima
Siku wafanya kazi na Wakulima wakiweka mgomo dunia hii itayumba sana." hawa ndiyo waelewa achana na wewe maiti
 
Kwa hiyo kwa ushauri wako,wanasiasa wakae kimya tu kwa kua ni dabo ajenti,wasubiri tu hadi wafanyakazi na wakulima waibuke!!, 😂😂😄😭, ubarikiwe.
Wakae kimya kivipi sasa na wako kazini tatizo ni kutojitambua kwako na hutokaa ujitambue
 
Nahunga mkono hoja kuna kipande mwenyewe amesema kwamba Kikwete ndiye aliyemtoa huko chuo kipindi anasoma . Samia ndie kiongozi wa kwanza ccm kujionyesha hadharani kwenda Nairobi kumuona lissu baada ya kupigwa risasi pia samia akuchoka akamrudishia haki zake zote za ubunge alafu eti leo ha ha ha ha ha lissu ampinge Samia naounga mkono hoja wote ni double agent
 
Hahahah!! Mr. Slow slow wameanza kubwabwaja ovyo peleka moto tu. Mlikua wp kusema haya. Mpk iwe leo
KAZI ni kipimo cha utu
 
😂😂😂😂
Ni kitu cha kutokufikiri tu mkulima ana nafasi kubwa sana ktk mageuzi yoyote kuliko mwanasiasa na mfanyakazi ndiyo maana mapinduzi ya kilimo yana nguvu tangu enzi na enzi.

Tafuta kujua mambo siyo kuamini:-
"The Agricultural Revolution refers to significant increases in agricultural productivity and efficiency that began in Britain in the 18th century and continued into the 19th century, leading to increased population and paving the way for the Industrial Revolution. "
 
  • Thanks
Reactions: ITR
Wewe mzigo
Kuanzisha uzi siyo criteria ya uelewa wa mtoa uzi, jaribu kuwa open minded jifunze, ruhusu mawazo tofauti Ili kukuza uelewa wako.
Sh*t na wewe mfyuuuu!!..
Wewe ni moja ya mizigo humu nani apoteze muda wake kubeba mizigo isiyojitambua kama wewe?

Ufikirishe ubongo wako ilikuwa mwepesi kwenye uelewa sivyo utakuwa zigo kila leo
 
Na wewe unajiita great thinker?
Umewazaa weeee ukaja na hiyo conclusion?
Ok sawa
Tafuta chimbo ulambe asali tuu achana na hizi kelele uchwara utateseka sanaa
Mama atawale hadi 2035
Samia hana huo mpango labda mamako
 
Siyo wa kwanza kufanya kazi hiyo kuna kina Mtikila,Slaa, Mbowe, Sumaye, Mrema, Zitto, Lowasa, Kingunge, Rungwe, Lissu,nk.

Mapinduzi ya kweli kwa watanzania yatatoka kwa VYAMA VYA WAFANYAKAZI na WAKULIMA watakapochoka siyo kwa wanasiasa na viongozi wa dini kwani wao ndiyo wafanyabiashara na wanawanunua masikini na wasio na ajira
Kibwengo tu wewe
 
Na wewe unajiita great thinker?
Umewazaa weeee ukaja na hiyo conclusion?
Ok sawa
Tafuta chimbo ulambe asali tuu achana na hizi kelele uchwara utateseka sanaa
Mama atawale hadi 2035
Safi sana kwa kumtambua.

Saiz wanatumia mbinu nyepesi nyepesi sana kupindisha ukweli. Nadhani hawa watu uwezo wao wa akili ni mdogo sana,
 
Siyo wa kwanza kufanya kazi hiyo kuna kina Mtikila,Slaa, Mbowe, Sumaye, Mrema, Zitto, Lowasa, Kingunge, Rungwe, Lissu,nk.

Mapinduzi ya kweli kwa watanzania yatatoka kwa VYAMA VYA WAFANYAKAZI na WAKULIMA watakapochoka siyo kwa wanasiasa na viongozi wa dini kwani wao ndiyo wafanyabiashara na wanawanunua masikini na wasio na ajira
🤔
 
Na wewe unajiita great thinker?
Umewazaa weeee ukaja na hiyo conclusion?
Ok sawa
Tafuta chimbo ulambe asali tuu achana na hizi kelele uchwara utateseka sanaa
Mama atawale hadi 203

Watu wanataka akina traore nyie mnaleta hadithi za wafanyakazi na wakulima. Kina traore ndio chaguo jema kwa sasa, wale hawana mzaha na rasilimali za nchi
Kwa Tanzania sahau kuhusu kina Traole kwani jeshi lenu limejaa wanasiasa/makada wa chama ambao ni wakuu wa mikoa,wakuu wa wilaya,usalama wa taifa,nk
 
Wakulima mpaa watoke shambani wafike mjini leo
Uelewa wako ni mdogo sana jiongeze wakulima wakigoma kupeleka mazao yao mjini huko mjini wataishi je?wafanyakazi wakigoma kwenda kazini hiyo serikali itajiendeshaje?

Acha ujinga wa kutofikiri nje ya boksi
 
Double agent ukimaanisha nini mkuu?

Wote uliowataja hapo hakuna aliyediriki kuanika madudu kama Polepole.
Wewe unaona kaanika madudu na kakusaidia kwa akili yako lakini sisi wenye akili za kujiongeza na kufikiria tumeliona la yeye kutumika kuwalaghai watu kama nyie msiofikiri kwa kiwango cha juu
 
Back
Top Bottom