vipi huyu capitaine tesha, anatosha au kazuga tu?Kwa Tanzania sahau kuhusu kina Traole kwani jeshi lenu limejaa wanasiasa/makada wa chama ambao ni wakuu wa mikoa,wakuu wa wilaya,usalama wa taifa,nk
Shukrani T.OWewe unaona kaanika madudu na kakusaidia kwa akili yako lakini sisi wenye akili za kujiongeza na kufikiria tumeliona la yeye kutumika kuwalaghai watu kama nyie msiofikiri kwa kiwango cha juu
Andika Upupu mwingine mlalahoi wewe.Haya wakinga mmeletewa picha lingine la kukamatwa polepole lipukeni tena
Unatambua kuwa kuna watu wako gerezani miaka na miaka wanahama magereza tu kwa kazi maalumu?jiongezo acha mawazo mgando!!unakuja hapa kufanya nin sasa?
Mbowe watu wanam misconstrue wrongly! Huwezi kukaa gerezani miezi 8 ukasema huyu alikuwa mshirika wa samia! Never on earth! Sema Mbowe alikuwa bado anahitaji madaraka ndani ya CDM. The scale turned in an opposite direction, akaamua kujitoa na akikumbuka historia ya kampeni ya matusi.....
Wewe bado ni mchanga ktk maswala ya ujasusi,hoja hii huiwezi inahitaji ufikiri na udadisi mkubwa sanaDouble agent ukimaanisha nini mkuu?
Wote uliowataja hapo hakuna aliyediriki kuanika madudu kama Polepole.
This is rubbish!Unatambua kuwa kuna watu wako gerezani miaka na miaka wanahama magereza tu kwa kazi maalumu?jiongezo acha mawazo mgando!!
😂😂 sawa jasusi.Wewe bado ni mchanga ktk maswala ya ujasusi,hoja hii huiwezi inahitaji ufikiri na udadisi mkubwa sana
Ila umeusoma tayariAndika Upupu mwingine mlalahoi wewe.
Ule mpango wa Mwalimu na akina ALM acha kabisa. Ni wachache sanaWengi watakutukana hapa ni kwasababu unacho kisema si matamanii yao kukisikia, ukweli ni kwamba wakijua historia ya uazishaji wa vyama vingi nchi hii wasinge pata shida.
Hakuna kitu kama hicho duniani, hizo ndiyo fikra potofu. Wengi hapo ni “useful” idiots.Siyo wa kwanza kufanya kazi hiyo kuna kina Mtikila,Slaa, Mbowe, Sumaye, Mrema, Zitto, Lowasa, Kingunge, Rungwe, Lissu,nk.
Mapinduzi ya kweli kwa watanzania yatatoka kwa VYAMA VYA WAFANYAKAZI na WAKULIMA watakapochoka siyo kwa wanasiasa na viongozi wa dini kwani wao ndiyo wafanyabiashara na wanawanunua masikini na wasio na ajira