Polepole na udhalilishaji wa wabunge wa CHADEMA

Polepole na udhalilishaji wa wabunge wa CHADEMA

nadhani itakuwa ni utaratibu kwenye chama chao maana huwezi sema kitu ambacho hakijua ko anadhani wote ndio utaratibu wao au kenyewe kameliwa kupata nafasi ile hiki kibabu vp
Kibabuuuuu[emoji122]
 
Ajapewa ubao tu wa hati fungani safari hii.Slow, sabuufa,Le profesele,msajili,musiba ni speakers kiwakilishi cha MC.Microphone upenda wachumia tumbo wasiomchallange.
 
Nadhani kuna siku mtawala atakuwa mpinzani sijui wataficha wapi nyuso zao. Kuishi kwa kuheshimiana ndio tunu yetu watanzani hawa akina Polepole wanachafua maadili na miiko yetu watanzani
Thubuutuuuuu nani anaweza kugusa mteule wa Jiwe?
 
Ifikie mahali watanzania kwa umoja wetu tuseme hapana kwa kitendo cha katibu mwenezi wa CCM Polepole kusema kuwa wabunge wa viti maalum cdm ili wapate nafasi hiyo ni lazima washiriki ngono na mwenyekiti wa CHADEMA

Huu ni udhalilishaji wa hali ya juu kwa wanawake wote wa Tanzania na popote pale ulimwenguni.

Watanzania tuupinge kwa nguvu zetu.
By mbunge Upendo Peneza bungeni Dodoma

View attachment 1075013
Hili jambo linasemwa sana ,pengine kuna ukweli,uchunguzi ufanyike kuondoa hii sintofahamu
 
Bahati mbaya binaadamu husongwa na tabia zake mwenyewe . Wanadhani wanavyofanya kwa wabunge wao wa CCM ndivyo na vyama vingine wanavyo fanya. Ni majuzi tu mbunge wa CCM amepigwa talaka bungeni humo kwa kuendekeza umalaya.

Nashauri katiba ibadilishwe na nafasi hizi zigombewe direct toka kwa wananchi kama wenzetu wa Kenya wanavyofanya. Ili kuondoa wenye mamlaka ndani ya vyama kuvitumia vibaya.
wapi ule umoja wa wanawake bungeni ulioundwa kipindi cha mama Makinda,nafikiri mwenyekiti wao sijui ni G.kabaka,wamshughulikie huyu chakubanga naona anapitiliza sasa kwa madaraka ya kulevya
 
Mkuu nakubàliana na wewe maana hata Mugabe alikuwa na mawazo kama haya ya kina polepole
Nadhani kuna siku mtawala atakuwa mpinzani sijui wataficha wapi nyuso zao. Kuishi kwa kuheshimiana ndio tunu yetu watanzani hawa akina Polepole wanachafua maadili na miiko yetu watanzani
 
Amesema wabunge, sasa kwani yeye ni mbunge! Besides, kwani anaongea uongo?

Yeye si mbuge bali ni mteuliwa wa mkuu kwa kigizo hizo. Anaongea uongo maana akiambiwa athibitisha hata weza. Anachokoza nyuki, wakimtia manundu hasiseme nyuki wabaya.
 
Itakuwa vizuri sana maana kuna wabunge na watoto wao pia ni wabunge
Hili jambo linasemwa sana ,pengine kuna ukweli,uchunguzi ufanyike kuondoa hii sintofahamu
 
Ifikie mahali watanzania kwa umoja wetu tuseme hapana kwa kitendo cha katibu mwenezi wa CCM Polepole kusema kuwa wabunge wa viti maalum cdm ili wapate nafasi hiyo ni lazima washiriki ngono na mwenyekiti wa CHADEMA

Huu ni udhalilishaji wa hali ya juu kwa wanawake wote wa Tanzania na popote pale ulimwenguni.

Watanzania tuupinge kwa nguvu zetu.
By mbunge Upendo Peneza bungeni Dodoma

View attachment 1075013

Hili suala ni gumu sana kwa Polepole kuli-prove!

Na sidhani kama Polepole na umahiri wake wa kujenga hoja Channel Ten

Kipindi kile mpaka mishipa ya shingo inamsimama,leo ndio kaishiwa namna hii

Anaanza siasa za maji taka na kusema vitu asivyoweza dhibitisha!

Very low of him!
 
Kwani yule mama Kabaka bado yupo bungeni kweli?
wapi ule umoja wa wanawake bungeni ulioundwa kipindi cha mama Makinda,nafikiri mwenyekiti wao sijui ni G.kabaka,wamshughulikie huyu chakubanga naona anapitiliza sasa kwa madaraka ya kulevya
 
Wanatia sana hasira hawa wasiyo jitambua kuwa Tanzania ni mali ya watanzania wote bila kujali itikadi zetu
Hao awaguswi labda angekuwa CDM tena kutokea mahabusu.
 
Wanatia sana hasira hawa wasiyo jitambua kuwa Tanzania ni mali ya watanzania wote bila kujali itikadi zetu

Thus tunataka uongozi uwe wito kama ualimu ndo tutapata wawakilishi wa wananchi na si wawakilishi wa anaewalipa.
 
Hili suala ni gumu sana kwa Polepole kuli-prove!

Na sidhani kama Polepole na umahiri wake wa kujenga hoja Channel Ten

Kipindi kile mpaka mishipa ya shingo inamsimama,leo ndio kaishiwa namna hii

Anaanza siasa za maji taka na kusema vitu asivyoweza dhibitisha!

Very low of him!
Anawadhalilisha viongozi wake wasomi kina Dr Bashiru
 
Back
Top Bottom