Polepole na CCM yake wapuuzwe, ni wapuuzi

Polepole na CCM yake wapuuzwe, ni wapuuzi

Mikataba yote ilisainiwa kwenye selikali ya Awamu ya tatu, hivyo ukitaka kuuona upuuzi wa Polepole fukuza kwanza wale mawaziri wastaafu kwenye chama cha bwana Yericko Nyerere.
Filosofi ya UKAWA ni moja mtu akishaondoka CCM ya nyuma haya mhusu. Wamesahau kuwa wao kina Yericko na Polepole ni sawa kabisa, bora hata Polepole japo si fan wake anaelewa wakati kuliko kina Yericko.
 
Nimemsikiliza jana kijana mwenzangu ndugu Humphrey Polepole akizungumza kwa niaba ya ccm juu ya mambo kadhaa aliyoyaita makubwa nchini, mambo hayo ni mauaji ya Kibiti na Ripoti ya Makanikia. Na Yericko Nyerere
This is your "topic sentence" that implies that, according to you "Mauaji ya Kibiti & Makinikia" are not big issues at all.
Thank you, and bye!
 
Acheni unafiki, ivi mnajua majukumu au cheo cha pole pole ndani ya ccm?

Kwaiyo mnataka kusema alikuwa apaswi kuongea chochote? Mbona nyerere anaongelea mambo ya cdm wakati makene ndio mhusika mkuu?

Acheni upotoshaji pole pole ajavuka mipaka kwasababu yeye ndio msemaji wa ccm na ccm ndio ina tawala. Na kaongea kama katibu muenezi wa chama tawala.

Pole pole yupo sahihi kueneza mustakabali wa chama chake.
 
mambo ya CCM yanakuhusu nini? toeni tamko la chadema na sio lako?...... haya yote yametokea kwasababu ya uzembe wa vyama vya upinzani kushindwa kuchukua nchi.....tusilaumiane.


:ufalme wa mbinguni unatekwa na wenye nguvu
 
POLE POLE NI MSEMAJI WA CCM ..NA ATAENDELEA KUWA HIVYO..Ukiamua jambo amua siyo kama shoga staki nataka..ulisema unaacha kupost mambo ya siasa..na wanachedema wenzio walikutukana sana..ukasema wasikupangie cha kupost ..leo unaendelea na habari za siasa ..unakuwa kama mwanamke malaya bhana ..kuwa na misimamo..
 
mambo ya CCM yanakuhusu nini? toeni tamko la chadema na sio lako?...... haya yote yametokea kwasababu ya uzembe wa vyama vya upinzani kushindwa kuchukua nchi.....tusilaumiane.


:ufalme wa mbinguni unatekwa na wenye nguvu
- Hawezi kutoa tamko la CHADEMA kwasababu CHADEMA hawana msemaji wa dizaini hii.
- Msemaji wa CHADEMA ni Tumaini Makene.
- Hili bandiko la huyu dogo sio msimamo au tamko la CHADEMA, hivyo huyu nae ni wa kumpuuza tu.
- Kuhusu kuchukua nchi, kabla ya kupiga kura Mgombea Urais alitangaza kura zake atazilinda mwenyewe, akawataka wagombea wengine wa Ubunge na Udiwani wa chama "chake" walinde zao tu.
- Lawama lazima zije kwakuwa tumeshaunda kizazi cha malalamiko mwanzo mwisho.
 
Polepole ameongea kama msemaji wa CCM, wewe umepata wapi mamlaka ya kusemea Upinzani, kama siyo kiherehere cha kujivisha kaptula isiyo yako? Yericko una historia ya kutosimamia mambo hivyo huna moral authority kumkanya hata mfukuza panya let alone msemaji halali wa chama cha siasa.

Umejaza hii server ukimsema Lowassa na kutaka watu wamkatae, leo hii unalamba sahani yake. Kama ni kuomba msamaha wewe unatakiwa uwe wa kwanza kuwaomba msamaha Watanzania kwa kuwaamisha unapinga ufisadi kumbe ulikuwa uneweka 'seat' ili ujaze tumbo.

Na pia nikukumbe, CCM ina makosa, tena makosa makubwa, leo dawa haiwezi kuwa chama cha walamba matipishi. Wewe na genge lako mmeonesha kiini cha ugonjwa unalisumbua hili taifa, kwamba watu wanaongea wasichokiamini. Miaka nenda mmelia ufisadi na kuibiwa na makampuni ya madini, leo hii katokeza mtu kuchukua hatua ya kupambana na mafisadi, wewe unakazana kubadilisha 'goal' post na kudeki ili 'wawekezaji' wa kisiasa wamapte maficho.
Wewe bure kabisa. Huna Kichwa wala miguu hujui unaloongea. Siasa zako zimeanzia 2014.
 
Kwa bongo ilipofika inabidi tusameheane tu na kuungana kutetea maslahi ya taifa,ukisema kufukua makaburi,hakuna mwanasiasa atakayetoka salama,si upinzani wala watawala!
Acha uongo... Wapinzani wasiwe salama kwa uchafu uliofanywa na watu wengine? that is shit..
 
Filosofi ya UKAWA ni moja mtu akishaondoka CCM ya nyuma haya mhusu. Wamesahau kuwa wao kina Yericko na Polepole ni sawa kabisa, bora hata Polepole japo si fan wake anaelewa wakati kuliko kina Yericko.
Ni lazima mkubali dude lenu limeoza siku nyingi, sasa linaendelea kuwanukia watanzania wote...
 
Yericko Nyerere wewe ni wa kupuuza unahangaika kujaza maji kwenye kapu.
 
Wapuuzwe kwa sababu yako? Yaani ndiyo utuamulie tuwapuuze?
Yeriko is right nyie ndio wakupuuzwa miaka yote taifa linaibiwa mlikuwa kimya mnapiga tu kura za ndio bungeni kwenye miswada mibovu ya kusimamia sekta za madini leo hii mambo yakiwa wazi hamtaki wapinzani watoe maoni yao wakati miaka yote tumekuwa tukipinga huu wizi huku nyie mnashabikia tu!!!!!

Aaaaarrggghhhhhh
 
Yerricko unamjibu MCHUMIA TUMBO Polepole ! Kwanini umeamua kupoteza muda wako ?
 
Kijana ukiwa na sura ya kizee lazma uwe mtu wa majungu,fitna,umbea.polepole anaishi kwa style hiyo
 
Back
Top Bottom