Polepole: Mimi nipo Tanzania

+13057764396
+1 hiyo ni USA
---
Iko hivi:
  • Waweza nunua na kutumia namba za nje ya nchi yeyote utakayo.
  • Bei hutegemea ni huduma ipi unahitaji kwenye hiyo namba na kwa muda gani:
Mfano:
  • SMS pekee (kupokea)
  • SMS kupokea na kutuma
  • SMS + Voice Call
Hivyo waweza kuwa unatumia namba ya China au Germany kwa shughuli zako, ila upo Tanzania na sio China wala Germany.
Ukihitaji mifano na kujua zaidi nijulishe.
 
asante, elimu haina mwisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…