kson m
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 6,648
- 3,003
angetueleza pia ile haki yetu ya kodi ya tra ya TRILLION 400 imefikia wapi?sio wakati wa kuzungumzia bilion 700 tu.....trillion 400 ndizo twasubiri....!!!!!"Maana yake ni 16% + 50% ya faida + Kodi zote kwa mujibu wa sheria + Bilioni 700 za awali na Mazagazaga mengine kibao kwa watanzania"
Hili hata mwehu hawezi kukubali sembuse mzungu na jopo la wataalam.