Just Pray
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 2,142
- 4,779
Huu ni ujumbe wa Humphrey Polepole kupitia ukurasa wa Instagram asubuhi hii.
Leo Jumatano saa 2:00 Usiku saa za Afrika Mashariki nitasema nanyi kwa Habari ya Mambo mawili;-
1. Mustakabali wa mbele wa Nchi yetu na Taifa katikati ya Mkwamo tulionao, na,
2. Nitatumia muda huo kumjibu Mwana CCM aliyejitokeza hivi karibuni na kudai mie ni mvamizi kwenye CCM, majibu yangu yatawagusa wenzake kadhaa ndani ya CCM (wanajulikana).
Pia soma >> Press za Polepole kwa sasa hazina tija
Kupitia ujumbe wangu kwake nitafafanua namna Mtandao wa kihuni unavyobagaza Nchi yetu na unavyofedhehesha Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Ni wazi mkata swichi anakaa kimara na kwa tangazo hili hatakwenda atasubiria ofisini, hivyo mjipange ipasavyo.
Wale Diaspora na wanaofuatilia kutoka nje na wengine nchini nitaunga na Clubhouse ili mfuatilie mubashara na watu wa clubhouse leo ni zamu yenu maswali kujibiwa.
Asanteni na Mungu awabariki.
NB: Kwa wale mnaohitaji kuhakikishiwa amani ya moyo ili muwe na amani mnaweza kusoma Hagai 2:9 🙏🏽
Leo Jumatano saa 2:00 Usiku saa za Afrika Mashariki nitasema nanyi kwa Habari ya Mambo mawili;-
1. Mustakabali wa mbele wa Nchi yetu na Taifa katikati ya Mkwamo tulionao, na,
2. Nitatumia muda huo kumjibu Mwana CCM aliyejitokeza hivi karibuni na kudai mie ni mvamizi kwenye CCM, majibu yangu yatawagusa wenzake kadhaa ndani ya CCM (wanajulikana).
Pia soma >> Press za Polepole kwa sasa hazina tija
Kupitia ujumbe wangu kwake nitafafanua namna Mtandao wa kihuni unavyobagaza Nchi yetu na unavyofedhehesha Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Ni wazi mkata swichi anakaa kimara na kwa tangazo hili hatakwenda atasubiria ofisini, hivyo mjipange ipasavyo.
Wale Diaspora na wanaofuatilia kutoka nje na wengine nchini nitaunga na Clubhouse ili mfuatilie mubashara na watu wa clubhouse leo ni zamu yenu maswali kujibiwa.
Asanteni na Mungu awabariki.
NB: Kwa wale mnaohitaji kuhakikishiwa amani ya moyo ili muwe na amani mnaweza kusoma Hagai 2:9 🙏🏽