Milanzi2018
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 388
- 381
Kumbe ni Mrema
Kama walikuwa vyuma kwa nini walikimbia mapambano? Vyuma ni wale bado wapo kwenye mapambano, au unaangalia nini?vyuma vipi? zito, kitilla, slaa, katambi, shonza, n.k wote wamesepa sasa vyuma vilivyopikwa bila shaka kwa akili zako za kuku wa kizungu unamanisha lema, sugu na msigwa kwikwikwi.
Unawzekana ujueKumbe ni Mrema
Maneno yakujifarijiHawataweza Kununua nafsi ya Watanzania.. Watanunua viongozi tu! Upinzani ni dhamira, Itikadi.. IPO Na Itaendelea kuwepo. Huwezi kulazimisha watu wafikiri sawa!
Faraja gani? Unafikiri maisha yangu yanategemea ruzuku ya chama mpaka nitake faraja ya kisiasa? Nyinyi endeleeni tu kufanya mnada Ila ukweli ni kwamba hamuwezi Kununua "dhamira". Akina Ole Sendeka wako wengi sana humo chamani shida ni kwamba wanaamini bila CCM hawawezi kutoboa... Ila wengi hawampendi [HASHTAG]#atubu[/HASHTAG]Maneno yakujifariji