Yaani mkataswitch anapiga mpaka umeme ? Hii serious matter
Kumbe ndio maana yupo kimyaHajaanza kuongea na sidhani kama ni tatizo la kukatiwa switch. Nasikia kuna mkubwa mmoja amemwangukia na kumwomba sana sana asiongee. Hili sina uhakika nalo lakini nimesikia mtu anazungumzia tangu mchana.
Anataka ajue kote haipatikaniWanasema mkata switch ana ID joined 2025?
Isije kuwa unapima ufanisi wa kazi?
Anataka ajue kote haipatikanaWanasema mkata switch ana ID joined 2025?
Isije kuwa unapima ufanisi wa kazi?
Anataka ajue kote haipatikani
Alipofikia ni Point of No Return.Hajaanza kuongea na sidhani kama ni tatizo la kukatiwa switch. Nasikia kuna mkubwa mmoja amemwangukia na kumwomba sana sana asiongee. Hili sina uhakika nalo lakini nimesikia mtu anazungumzia tangu mchana.
Kwa jinsi walivyopuuza ushauri wake,sidhani kama ataweke breki kwenye mteremko huuHajaanza kuongea na sidhani kama ni tatizo la kukatiwa switch. Nasikia kuna mkubwa mmoja amemwangukia na kumwomba sana sana asiongeiie. Hili sina uhakika nalo lakini nimesikia mtu anazungumzia tangu mchana.
InawezekanaIsije kuwa kakolimbwa, wahuni si watu wazuri.
Kwenye mteremko labda waweke kigogoKwa jinsi walivyopuuza ushauri wake,sidhani kama ataweke breki kwenye mteremko huu
Hakika nakubaliana na wewe. Kikubwa anatambua yote hayo ulioainisha.Alipofikia ni Point of No Return.
Amevuka Point of Go Or No Go.
Hasiposema yale aliyotishia lazima atauw@w@ na adui zake.
Alipofikia salama yake ni kusema ukweli, kuweka zama mpya na kuuwa kabisa nguvu za wana mtandao. Kuondoa utawala wa CCM na kuvijenga vyama vipya.
Yasipotia haya hakika nakuambia Polepole hataishi zaidi ya miaka 5 toka tarehe 20 August 2025.
Tunza hii post yangu uje uniulize kiko wapi endapo hatosema aliyo ahidi jana na akafika August 2031.
Kuna hiiShare link kuelekea habari TV
Mm hapa namsikiliza tumeni link zenu leo kavurugwa anayoongea ni hatari tupu kuyasikiliza wacheni tu kumbe yule alipofariki na yy alishuriki,,,,Kumbe ndio maana yupo kimya
Mbona bado hayupo liveMm hapa namsikiliza tumeni link zenu leo kavurugwa anayoongea ni hatari tupu kuyasikiliza wacheni tu kumbe yule alipofariki na yy alishuriki,,,,