Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
Agosti 13, 2025 wakati Humphrey Polepole akiendelea na mazungumzo yake kupitia mitandao ya kijamii ameeleza kuwa CCM inakaribia kutekwa na Wanamtandao na watu wanajua ingawa wanawaogopa ila yeye hawaogopi.
"Huku sisi tunakaribia kutekwa na kundi la wanamtandao mtu yeyete aliyekuwepo toka zamani anajua hizi issue. Sema watu wanawaogopa umenielewa eeh? kwa sababu hawa jamaa wana mbinu nyingi ndiyo maana watu wanawaogopa. Mimi siwaogopi hamna nafasi kwenye chama cha mapinduzi untill it's done" - Humphrey Polepole
"Huku sisi tunakaribia kutekwa na kundi la wanamtandao mtu yeyete aliyekuwepo toka zamani anajua hizi issue. Sema watu wanawaogopa umenielewa eeh? kwa sababu hawa jamaa wana mbinu nyingi ndiyo maana watu wanawaogopa. Mimi siwaogopi hamna nafasi kwenye chama cha mapinduzi untill it's done" - Humphrey Polepole