Polepole aunga mkono zoezi la Push Up

Polepole aunga mkono zoezi la Push Up

funaku

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
38,534
Reaction score
31,198
Kuna video inayosambaa kwa kasi ikimuonesha Humphrey Polepole akipiga Push Ups huku akiwa na vazi la suti.

Hii ni kumuunga mkono JP MAGUFULI.

Kiafya zoezi la pushup lina faida za kiafya.

Nashauri kabla ya kampeni wana ccm lazima wapige Push ups 5 rounds na inapowezekana na wananchi wafanye hivyo.Taifa linaandaliwa kufanya kazi tu.

#hapakazitu
 
Kuna video inayosambaa kwa kasi ikimuonesha Humphrey Polepole akipiga Push Ups huku akiwa na vazi la suti.

Hii ni kumuunga mkono JP MAGUFULI.

Kiafya zoezi la pushup lina faida za kiafya.

Nashauri kabla ya kampeni wana ccm lazima wapige Push ups 5 rounds na inapowezekana na wananchi wafanye hivyo.Taifa linaandaliwa kufanya kazi tu.

#hapakazitu

Asante kwa ushauri jingaletu
 
Kwani Polepole in nani hapa Tanzania? Kwa kuwa liko katika ILANI ya CCM ana haki kwa katiba ya CCM kuunga mkono
 
Ndio inayokusumbua wewe kwa fisadi Lowassa, ni tumbo lako tu.

Mimi sina njaa kama huyo Pole Pole.... Tokea 2012 hana kazi hapa mjini ili apate pesa ya kuweka ugali mezani lazima atumike na CCM... Lasivyo hapa ni mjini ataingizwa guest
 
Kuna video inayosambaa kwa kasi ikimuonesha Humphrey Polepole akipiga Push Ups huku akiwa na vazi la suti.

Hii ni kumuunga mkono JP MAGUFULI.

Kiafya zoezi la pushup lina faida za kiafya.

Nashauri kabla ya kampeni wana ccm lazima wapige Push ups 5 rounds na inapowezekana na wananchi wafanye hivyo.Taifa linaandaliwa kufanya kazi tu.

#hapakazitu

Hata nyani anapiga push up lakini hawezi kuongoza nchi hivyo kama kipimo chako cha raisi bora ni mpiga push up umekosea anatakiwa awe body guard wa raisi!
 
Mimi sina njaa kama huyo Pole Pole.... Tokea 2012 hana kazi hapa mjini ili apate pesa ya kuweka ugali mezani lazima atumike na CCM... Lasivyo hapa ni mjini ataingizwa guest
Ndio hasara ya wapuuzi kama Polepole kuwaingiza kwenye tume kama ile ya Warioba ya kutengeneza katiba. Imagine huyu alikuwa anafanya Nazi hizo na MTU kama Salim Ahmed Salim? Hapo so ni matusi na kumkejeli MTU mwenye heshima kama yule kwa kumuhusisha na nuhuni,tapeli na kibaka kama Polepole?
Nchi hii inelaaniwa chini ya ccm
 
Vijana wa Lowassa munamzuka lakini kwa bahati mbaya Lowassa atapoteza kama unabisha njoo kwetu huku Mwanza uone kama kuna mabishano ya Lowassa. Lowassa kweshine mungekuwa na hekima mungemshauri huyo Lowassa afanye mandalizi ya sijui niyaite ya kusitaafu au kupumzika kijijini kwake Monduli.
 
Polepole anajidhalilisha sana. Hii njaa ni shida. Sijui atarudia uanaharakati wake baada ya uchaguzi?
 
Hata nyani anapiga push up lakini hawezi kuongoza nchi hivyo kama kipimo chako cha raisi bora ni mpiga push up umekosea anatakiwa awe body guard wa raisi!
Kipimo cha rais bora ni kipi?
 
Bora mm Simo, maana nikitaka kupiga push ups napigia chumbani kwangu hata mke wangu ni shahidi
 
Vijana wa Lowassa munamzuka lakini kwa bahati mbaya Lowassa atapoteza kama unabisha njoo kwetu huku Mwanza uone kama kuna mabishano ya Lowassa. Lowassa kweshine mungekuwa na hekima mungemshauri huyo Lowassa afanye mandalizi ya sijui niyaite ya kusitaafu au kupumzika kijijini kwake Monduli.

mwanza ya wapi weee mbwaa wa swisem.el rock city ndo tishio ndoroooooooooooooooobo wewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom