funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 38,534
- 31,198
Kuna video inayosambaa kwa kasi ikimuonesha Humphrey Polepole akipiga Push Ups huku akiwa na vazi la suti.
Hii ni kumuunga mkono JP MAGUFULI.
Kiafya zoezi la pushup lina faida za kiafya.
Nashauri kabla ya kampeni wana ccm lazima wapige Push ups 5 rounds na inapowezekana na wananchi wafanye hivyo.Taifa linaandaliwa kufanya kazi tu.
#hapakazitu
Hii ni kumuunga mkono JP MAGUFULI.
Kiafya zoezi la pushup lina faida za kiafya.
Nashauri kabla ya kampeni wana ccm lazima wapige Push ups 5 rounds na inapowezekana na wananchi wafanye hivyo.Taifa linaandaliwa kufanya kazi tu.
#hapakazitu