Polepole aubomoa upinzani Kilimanjaro

Polepole aubomoa upinzani Kilimanjaro

Wakati wenzao wanazindua gari lao wao wanapambana kubomoa upinzani nguvu kubwa huko akili kidogo Tanzania ya viwanda ni wimbo tu wa majukwaani hautekelezeki hii ndio raana tuliyo achiwa na nani sijui
 
Wakati wenzao wanazindua gari lao wao wanapambana kubomoa upinzani nguvu kubwa huko akili kidogo Tanzania ya viwanda ni wimbo tu wa majukwaani hautekelezeki hii ndio raana tuliyo achiwa na nani sijui
Masahisho raana Ni laana.
 
30 Januari 2018

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg.Polepole akiwa kwenye Kikao cha Halmashauri Kuu Wilaya ya Moshi Vijijini, Viongozi wa vyama vya upinzani 17 Moshi Vijijini wameomba kujiunga na CCM.

Viongozi 9 wa CHADEMA wakiongozwa na Ekarise Kiwia Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Moshi Vijijini na Emmanuel Mlaki Katibu wa CHADEMA Wilaya la Moshi Vijijni na katibu wa Jimbo la Vunjo.

Viongozi watano (5) wa NCCR wakiongozwa na Stanley R. Temba Katibu wa NCCR Vunjo pamoja na Viongozi watatu (3) wa TLP wakiongozwa na Kawawa J. Rubega Katibu wa Jimbo la Vunjo

Kikao cha Halmashauri Kuu ya wilaya ya Moshi Vijijini kimewakubalia na kuwapokea ndani ya CCM.

Hii imepelekea idadi ya viongozi waliohamia CCM katika ziara ya ndg. Polepole mkoa wa Kilimanjaro kufikia 89.
Kudadadeki, safi sana hadi wabakiwe na zero
 
30 Januari 2018

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg.Polepole akiwa kwenye Kikao cha Halmashauri Kuu Wilaya ya Moshi Vijijini, Viongozi wa vyama vya upinzani 17 Moshi Vijijini wameomba kujiunga na CCM.

Viongozi 9 wa CHADEMA wakiongozwa na Ekarise Kiwia Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Moshi Vijijini na Emmanuel Mlaki Katibu wa CHADEMA Wilaya la Moshi Vijijni na katibu wa Jimbo la Vunjo.

Viongozi watano (5) wa NCCR wakiongozwa na Stanley R. Temba Katibu wa NCCR Vunjo pamoja na Viongozi watatu (3) wa TLP wakiongozwa na Kawawa J. Rubega Katibu wa Jimbo la Vunjo

Kikao cha Halmashauri Kuu ya wilaya ya Moshi Vijijini kimewakubalia na kuwapokea ndani ya CCM.

Hii imepelekea idadi ya viongozi waliohamia CCM katika ziara ya ndg. Polepole mkoa wa Kilimanjaro kufikia 89.
Wakati wakenya wakiuboresha mpaka kufikia hatua ya kuacha waapishane nyie mnaubomoa.....
 
Chama ni wanachama. Na wanachama hufuata viongozi( ref: Lowasa movement Ulipo tupo).So ukipata viongozi wazuri tayari una mtaji wa watu.

Sawa
Na Je waliopo sasa itakuwaje watawafukuza kuwaweka hao au watabanana?
Na hao wapya watakaa tu na kumisi kuwa viongozi na income ya uongozi walikuwa nao.. au ilikuwa bure Cdm?

Na pia sio kila mwanachama upigia kula chama chake. Na inavidi wawe makini kuwaongezea waliopo maujuzi labda washindwe kuliko natumaini hawatawaachisha kazi wengine as wao watakuwa wale wapinzani wa ndani kwa ndani kichini chini.

Ya Lowassa wengi wafata mikumbo kusema mko aĺipo.. matendotofauti kabisa.. wanawapa kura chama tawala.

Ukweli upo kuwa JPM ni ameleta mabadiliko kwa wengi kifikra na tunamshangilia.. ila mengi yanafanywa mengine yana mmmmmmh.. haya tusubiri uchaguzi Kinondoni itarudi kwa JPM na Siha pia.
 
Nyie acheni ujinga, hivi serikali ina pesa sh. Ngapi nyingi ya kununua watu wote mnaowaona wanahama. Niwambie kitu, nyie uguzaneni tu mpaka mnarudi mlikokwenda utakuta mbowe tu ndo bado mwana cdm
 
Hiyo biashara ya utumwa ilishachuja kitambo mbona!
 
Kwani tuko Ulaya au Marekani?
Hapa ndipo u-shimo la nnya wenu unapojidhihirisha. Mnataka kuwa na maendeleo kama Ulaya na America lakini hamtaki kufanya kama walivyofanya au wafanyavyo Ulaya na America. Hiyo haiwezekani. Endeleeni na breaking News hizi muone Tanzania ya viwanda itasimama.
 
30 Januari 2018

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg.Polepole akiwa kwenye Kikao cha Halmashauri Kuu Wilaya ya Moshi Vijijini, Viongozi wa vyama vya upinzani 17 Moshi Vijijini wameomba kujiunga na CCM.

Viongozi 9 wa CHADEMA wakiongozwa na Ekarise Kiwia Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Moshi Vijijini na Emmanuel Mlaki Katibu wa CHADEMA Wilaya la Moshi Vijijni na katibu wa Jimbo la Vunjo.

Viongozi watano (5) wa NCCR wakiongozwa na Stanley R. Temba Katibu wa NCCR Vunjo pamoja na Viongozi watatu (3) wa TLP wakiongozwa na Kawawa J. Rubega Katibu wa Jimbo la Vunjo

Kikao cha Halmashauri Kuu ya wilaya ya Moshi Vijijini kimewakubalia na kuwapokea ndani ya CCM.

Hii imepelekea idadi ya viongozi waliohamia CCM katika ziara ya ndg. Polepole mkoa wa Kilimanjaro kufikia 89.


Kama ni kweli basi CCM iache kubagua huu mkoa maana iko wazi kuwa Kilimanjaro imekuwa ikibaguliwa systematically mithili ya ubaguzi dhidhi ya Wayahudi katika 4th Reich ya Hitler au Watutsi katika Rwanda ya kabla ya Kagame.

Halimradi sasa mnadai Polepole "ameukomboa" huu mkoa, muukumbatie basi. Hicho ndiyo kipimo pekee cha kuonesha kuwa kweli mmeteketeza upinzani Kilimanjaro, nje ya hapo itadhirihisha kuwa hizi ni propaganda tu na mradi wa Pwagu na Paguzi.
 
Kwa hiyo unamlaunu nani..laumu hao wanaohama..!! Lakini hiyo ndio demokrasia wewe unataka uwalazimishe kukaa na mafisadi mpaka lini ???? Usidhani hao hawana akili. Ni watu wazima na familia zao...kalagabaho..!!! Kaa na ujinga wako
!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Pole pole ameabomoa uPInzan eti.. Mnaota nyie

Musiba ni Msiba!
 
Mimi nikiwa sio mwanasiasa naomba mnijuze

Faida za hao kuhamia CCM ni zipi kwa hicho cama?

Hao wana nini ambacho walio CCM hawana?
Na

Hao wanaohama kwani inamaanisha nafasi zao zitabaki wazi!! Si chama wanachokiacha kitachagua viongozi wengine na hata labda kuwa bora zaidi ya waliowatangulia.. kama wana ujanja wa kufanya hivyo?

Na je kuhama kwao kuingia chama tawala kutasaidiaje wananchi?

Wakihama kutoka kwenye vyeo vyao.. si CCM kuna watu na vyeo vyao vya levo hiyo tayari au?

Nazidi kuwa mshamba wa haya ya kuhamahama mwananchi mimi?

Na mengine yapi anayafanya Polepole ya kufurahisha wananchi katika maisha yao.

Hao wanaohama wana nguvu gani kufanya wananchi wasio shabikia CCM kutaka kujiunga nao au hata kuwapigia kura wa chama hicho.

Naamini mnaojua siasa mtanisaidia kuelewa.

Mwenye kideo nitafurahia kuona kilichojiri.. nimeanza kutamani kuona inavyokuwa na wanaongea nini.

Wamekuibia Account yako?
 
Hiyo ndio tafsiri yako kwa uwapendao,chongo kwa mnyamwezi, kwa mzaramo amri ya mungu

Kuna methali inasema "Udhaniaye umesimama angalia usianguke" na "Binadamu hujafa hujaumbika" kwa methli hizi zikuonyeshe tu kuna dunia baada ya hii.

Anyway wanasema ADUI muombee aishi maisha marefu ili apate kuuona utukufu wa Mungu
 
30 Januari 2018

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg.Polepole akiwa kwenye Kikao cha Halmashauri Kuu Wilaya ya Moshi Vijijini, Viongozi wa vyama vya upinzani 17 Moshi Vijijini wameomba kujiunga na CCM.

Viongozi 9 wa CHADEMA wakiongozwa na Ekarise Kiwia Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Moshi Vijijini na Emmanuel Mlaki Katibu wa CHADEMA Wilaya la Moshi Vijijni na katibu wa Jimbo la Vunjo.

Viongozi watano (5) wa NCCR wakiongozwa na Stanley R. Temba Katibu wa NCCR Vunjo pamoja na Viongozi watatu (3) wa TLP wakiongozwa na Kawawa J. Rubega Katibu wa Jimbo la Vunjo

Kikao cha Halmashauri Kuu ya wilaya ya Moshi Vijijini kimewakubalia na kuwapokea ndani ya CCM.

Hii imepelekea idadi ya viongozi waliohamia CCM katika ziara ya ndg. Polepole mkoa wa Kilimanjaro kufikia 89.
Kenya waunda gari lao wenyewe
 
Dua la kuku, maneno ya kwenye khanga hayo, mkuki kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu eeh!, lugha hizi mkitamkia wengine mnaona faraja Sana, et so special!

Uzima ulio nao sio kwa kuwa wewe umekuwa mwema kuliko wengine mzeee. wenye matatizo ni watu kama wewe, huna kitu cha ziada kuwazidi wao. Dau la kuku ili iweje sasa?! Nmekukumbusha tu kuwa huna guarantee ya sekunde moja iliyo mbele yako. Mshukuru Mungu unaweza kubovya hiyo keyboard.
 
Back
Top Bottom