Masahisho raana Ni laana.Wakati wenzao wanazindua gari lao wao wanapambana kubomoa upinzani nguvu kubwa huko akili kidogo Tanzania ya viwanda ni wimbo tu wa majukwaani hautekelezeki hii ndio raana tuliyo achiwa na nani sijui
Aksante kwa masahihisho kesho nitaandika vizuriMasahisho raana Ni laana.
Kudadadeki, safi sana hadi wabakiwe na zero30 Januari 2018
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg.Polepole akiwa kwenye Kikao cha Halmashauri Kuu Wilaya ya Moshi Vijijini, Viongozi wa vyama vya upinzani 17 Moshi Vijijini wameomba kujiunga na CCM.
Viongozi 9 wa CHADEMA wakiongozwa na Ekarise Kiwia Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Moshi Vijijini na Emmanuel Mlaki Katibu wa CHADEMA Wilaya la Moshi Vijijni na katibu wa Jimbo la Vunjo.
Viongozi watano (5) wa NCCR wakiongozwa na Stanley R. Temba Katibu wa NCCR Vunjo pamoja na Viongozi watatu (3) wa TLP wakiongozwa na Kawawa J. Rubega Katibu wa Jimbo la Vunjo
Kikao cha Halmashauri Kuu ya wilaya ya Moshi Vijijini kimewakubalia na kuwapokea ndani ya CCM.
Hii imepelekea idadi ya viongozi waliohamia CCM katika ziara ya ndg. Polepole mkoa wa Kilimanjaro kufikia 89.
Wakati wakenya wakiuboresha mpaka kufikia hatua ya kuacha waapishane nyie mnaubomoa.....30 Januari 2018
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg.Polepole akiwa kwenye Kikao cha Halmashauri Kuu Wilaya ya Moshi Vijijini, Viongozi wa vyama vya upinzani 17 Moshi Vijijini wameomba kujiunga na CCM.
Viongozi 9 wa CHADEMA wakiongozwa na Ekarise Kiwia Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Moshi Vijijini na Emmanuel Mlaki Katibu wa CHADEMA Wilaya la Moshi Vijijni na katibu wa Jimbo la Vunjo.
Viongozi watano (5) wa NCCR wakiongozwa na Stanley R. Temba Katibu wa NCCR Vunjo pamoja na Viongozi watatu (3) wa TLP wakiongozwa na Kawawa J. Rubega Katibu wa Jimbo la Vunjo
Kikao cha Halmashauri Kuu ya wilaya ya Moshi Vijijini kimewakubalia na kuwapokea ndani ya CCM.
Hii imepelekea idadi ya viongozi waliohamia CCM katika ziara ya ndg. Polepole mkoa wa Kilimanjaro kufikia 89.
Badala ya kuwaiga wakenya nenda huko Kenya ukaombe urai kabisa.Wakati wakenya wakiuboresha mpaka kufikia hatua ya kuacha waapishane nyie mnaubomoa.....
Chama ni wanachama. Na wanachama hufuata viongozi( ref: Lowasa movement Ulipo tupo).So ukipata viongozi wazuri tayari una mtaji wa watu.
Hapa ndipo u-shimo la nnya wenu unapojidhihirisha. Mnataka kuwa na maendeleo kama Ulaya na America lakini hamtaki kufanya kama walivyofanya au wafanyavyo Ulaya na America. Hiyo haiwezekani. Endeleeni na breaking News hizi muone Tanzania ya viwanda itasimama.Kwani tuko Ulaya au Marekani?
30 Januari 2018
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg.Polepole akiwa kwenye Kikao cha Halmashauri Kuu Wilaya ya Moshi Vijijini, Viongozi wa vyama vya upinzani 17 Moshi Vijijini wameomba kujiunga na CCM.
Viongozi 9 wa CHADEMA wakiongozwa na Ekarise Kiwia Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Moshi Vijijini na Emmanuel Mlaki Katibu wa CHADEMA Wilaya la Moshi Vijijni na katibu wa Jimbo la Vunjo.
Viongozi watano (5) wa NCCR wakiongozwa na Stanley R. Temba Katibu wa NCCR Vunjo pamoja na Viongozi watatu (3) wa TLP wakiongozwa na Kawawa J. Rubega Katibu wa Jimbo la Vunjo
Kikao cha Halmashauri Kuu ya wilaya ya Moshi Vijijini kimewakubalia na kuwapokea ndani ya CCM.
Hii imepelekea idadi ya viongozi waliohamia CCM katika ziara ya ndg. Polepole mkoa wa Kilimanjaro kufikia 89.
!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Kwa hiyo unamlaunu nani..laumu hao wanaohama..!! Lakini hiyo ndio demokrasia wewe unataka uwalazimishe kukaa na mafisadi mpaka lini ???? Usidhani hao hawana akili. Ni watu wazima na familia zao...kalagabaho..!!! Kaa na ujinga wako
Mimi nikiwa sio mwanasiasa naomba mnijuze
Faida za hao kuhamia CCM ni zipi kwa hicho cama?
Hao wana nini ambacho walio CCM hawana?
Na
Hao wanaohama kwani inamaanisha nafasi zao zitabaki wazi!! Si chama wanachokiacha kitachagua viongozi wengine na hata labda kuwa bora zaidi ya waliowatangulia.. kama wana ujanja wa kufanya hivyo?
Na je kuhama kwao kuingia chama tawala kutasaidiaje wananchi?
Wakihama kutoka kwenye vyeo vyao.. si CCM kuna watu na vyeo vyao vya levo hiyo tayari au?
Nazidi kuwa mshamba wa haya ya kuhamahama mwananchi mimi?
Na mengine yapi anayafanya Polepole ya kufurahisha wananchi katika maisha yao.
Hao wanaohama wana nguvu gani kufanya wananchi wasio shabikia CCM kutaka kujiunga nao au hata kuwapigia kura wa chama hicho.
Naamini mnaojua siasa mtanisaidia kuelewa.
Mwenye kideo nitafurahia kuona kilichojiri.. nimeanza kutamani kuona inavyokuwa na wanaongea nini.
Hiyo ndio tafsiri yako kwa uwapendao,chongo kwa mnyamwezi, kwa mzaramo amri ya mungu
Wala huwezi sikia ruzuku za huko inakuwa top secret!ni wawazi mpaka kwa michango ya wapenzi na mashabiki yaani.HUWEZI KUSIKIA AMERIKA AU ULAYA CHAMA FULANI KIMEBOMOA CHAMA KINGINE..
hiyo ni njia ya kujenga viwanda ccm oye.HUWEZI KUSIKIA AMERIKA AU ULAYA CHAMA FULANI KIMEBOMOA CHAMA KINGINE..
Kenya waunda gari lao wenyewe30 Januari 2018
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg.Polepole akiwa kwenye Kikao cha Halmashauri Kuu Wilaya ya Moshi Vijijini, Viongozi wa vyama vya upinzani 17 Moshi Vijijini wameomba kujiunga na CCM.
Viongozi 9 wa CHADEMA wakiongozwa na Ekarise Kiwia Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Moshi Vijijini na Emmanuel Mlaki Katibu wa CHADEMA Wilaya la Moshi Vijijni na katibu wa Jimbo la Vunjo.
Viongozi watano (5) wa NCCR wakiongozwa na Stanley R. Temba Katibu wa NCCR Vunjo pamoja na Viongozi watatu (3) wa TLP wakiongozwa na Kawawa J. Rubega Katibu wa Jimbo la Vunjo
Kikao cha Halmashauri Kuu ya wilaya ya Moshi Vijijini kimewakubalia na kuwapokea ndani ya CCM.
Hii imepelekea idadi ya viongozi waliohamia CCM katika ziara ya ndg. Polepole mkoa wa Kilimanjaro kufikia 89.
Dua la kuku, maneno ya kwenye khanga hayo, mkuki kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu eeh!, lugha hizi mkitamkia wengine mnaona faraja Sana, et so special!