Polepole aubomoa upinzani Kilimanjaro

Polepole aubomoa upinzani Kilimanjaro

Uzima ulio nao sio kwa kuwa wewe umekuwa mwema kuliko wengine mzeee. wenye matatizo ni watu kama wewe, huna kitu cha ziada kuwazidi wao. Dau la kuku ili iweje sasa?! Nmekukumbusha tu kuwa huna guarantee ya sekunde moja iliyo mbele yako. Mshukuru Mungu unaweza kubovya hiyo keyboard.
Kwahiyo nisipotamka maneno hayo ndo sitakufa?
 
30 Januari 2018

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg.Polepole akiwa kwenye Kikao cha Halmashauri Kuu Wilaya ya Moshi Vijijini, Viongozi wa vyama vya upinzani 17 Moshi Vijijini wameomba kujiunga na CCM.

Viongozi 9 wa CHADEMA wakiongozwa na Ekarise Kiwia Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Moshi Vijijini na Emmanuel Mlaki Katibu wa CHADEMA Wilaya la Moshi Vijijni na katibu wa Jimbo la Vunjo.

Viongozi watano (5) wa NCCR wakiongozwa na Stanley R. Temba Katibu wa NCCR Vunjo pamoja na Viongozi watatu (3) wa TLP wakiongozwa na Kawawa J. Rubega Katibu wa Jimbo la Vunjo

Kikao cha Halmashauri Kuu ya wilaya ya Moshi Vijijini kimewakubalia na kuwapokea ndani ya CCM.

Hii imepelekea idadi ya viongozi waliohamia CCM katika ziara ya ndg. Polepole mkoa wa Kilimanjaro kufikia 89.
Utakuwa na kichaa flani wewe
 
30 Januari 2018

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg.Polepole akiwa kwenye Kikao cha Halmashauri Kuu Wilaya ya Moshi Vijijini, Viongozi wa vyama vya upinzani 17 Moshi Vijijini wameomba kujiunga na CCM.

Viongozi 9 wa CHADEMA wakiongozwa na Ekarise Kiwia Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Moshi Vijijini na Emmanuel Mlaki Katibu wa CHADEMA Wilaya la Moshi Vijijni na katibu wa Jimbo la Vunjo.

Viongozi watano (5) wa NCCR wakiongozwa na Stanley R. Temba Katibu wa NCCR Vunjo pamoja na Viongozi watatu (3) wa TLP wakiongozwa na Kawawa J. Rubega Katibu wa Jimbo la Vunjo

Kikao cha Halmashauri Kuu ya wilaya ya Moshi Vijijini kimewakubalia na kuwapokea ndani ya CCM.

Hii imepelekea idadi ya viongozi waliohamia CCM katika ziara ya ndg. Polepole mkoa wa Kilimanjaro kufikia 89.

Haya ni mapinduzi. Tanzania bila Wachagga na Wanyakyusa ni sawa na Kenya bila Wajaluo au malaya wa Kigriama kule peanut. Sasa Tanzania tumeokoka, wenzetu walikuwa wamerubuniwa, wanarudi. Karibuni nyumbani ndugu zetu, Waziri Mkuu awamu ya 6 ni Mheshimiwa Mwanri. Bwana Mbowe mkumbuke Marehemu Baba alichangia Nyerere nauli kwenda UNO, kwa nini unamsaliti? Wachana na vichaa Nairobi na Wachungaji majizi Iringa au wavaa Rasta majambazi waJerry. Rudi CCM kwa marehemu baba yako. Hata baba Mkwe ni rafiki wa Nyerere kapata mtaji kuanzisha CHADEMA kwa ubavu wa Mwalimu IMF. Ongea naye. He will understand..
 
Back
Top Bottom