Polepole aubomoa upinzani Kilimanjaro

Polepole aubomoa upinzani Kilimanjaro

akili zako znakutosha kuvuka lami tu
yaan mwenykt wa jimbo kuhama ndio iyumbishe cdm?,slaa alihama sembuse hao kunguni?
kweli chizi sio lazma aokot makopo

Uongozi wa Mbowe unaoutetea hautoi demokrasia kwa viongozi wenzao, itakuwa kwa viongizi wa serikali! Badala yake uongozi wa Mbowe unashutumu na kutykana viongozi wenzake wanaohama. Msikilize:

Sikiliza jibu lake Polepole.

Kati Mh Mbowe na Polepole nani mkomavu kisiasa? Kama ulivyosema kweli chizi sio lazima aokote makopo. TAFAKARI CHUKUA HATUA
 
30 Januari 2018

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg.Polepole akiwa kwenye Kikao cha Halmashauri Kuu Wilaya ya Moshi Vijijini, Viongozi wa vyama vya upinzani 17 Moshi Vijijini wameomba kujiunga na CCM.

Viongozi 9 wa CHADEMA wakiongozwa na Ekarise Kiwia Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Moshi Vijijini na Emmanuel Mlaki Katibu wa CHADEMA Wilaya la Moshi Vijijni na katibu wa Jimbo la Vunjo.

Viongozi watano (5) wa NCCR wakiongozwa na Stanley R. Temba Katibu wa NCCR Vunjo pamoja na Viongozi watatu (3) wa TLP wakiongozwa na Kawawa J. Rubega Katibu wa Jimbo la Vunjo

Kikao cha Halmashauri Kuu ya wilaya ya Moshi Vijijini kimewakubalia na kuwapokea ndani ya CCM.

Hii imepelekea idadi ya viongozi waliohamia CCM katika ziara ya ndg. Polepole mkoa wa Kilimanjaro kufikia 89.
Hii ni habari kwa waTanzania
 
30 Januari 2018

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg.Polepole akiwa kwenye Kikao cha Halmashauri Kuu Wilaya ya Moshi Vijijini, Viongozi wa vyama vya upinzani 17 Moshi Vijijini wameomba kujiunga na CCM.

Viongozi 9 wa CHADEMA wakiongozwa na Ekarise Kiwia Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Moshi Vijijini na Emmanuel Mlaki Katibu wa CHADEMA Wilaya la Moshi Vijijni na katibu wa Jimbo la Vunjo.

Viongozi watano (5) wa NCCR wakiongozwa na Stanley R. Temba Katibu wa NCCR Vunjo pamoja na Viongozi watatu (3) wa TLP wakiongozwa na Kawawa J. Rubega Katibu wa Jimbo la Vunjo

Kikao cha Halmashauri Kuu ya wilaya ya Moshi Vijijini kimewakubalia na kuwapokea ndani ya CCM.

Hii imepelekea idadi ya viongozi waliohamia CCM katika ziara ya ndg. Polepole mkoa wa Kilimanjaro kufikia 89.
Ndio viwanda hivyo!
 
Akili za kushikiwa, kila kitu shithole,utafikiri wewe unaishi sayari nyingine.
Jahazi linazama hilo kwa upumbavu wenu wa kutotaka kushaurika, much know, more understanding for nothing
 
Aibu kubwa sana naona hii ni aina fulani ya ushamba wa nyakati hizi lkn tuamini muda utasema.tukibakia kua maskini wa kutupwa bila maendeleo thabiti ambayo unaweza ukashindanisha na kwingineko
 
30 Januari 2018

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg.Polepole akiwa kwenye Kikao cha Halmashauri Kuu Wilaya ya Moshi Vijijini, Viongozi wa vyama vya upinzani 17 Moshi Vijijini wameomba kujiunga na CCM.

Viongozi 9 wa CHADEMA wakiongozwa na Ekarise Kiwia Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Moshi Vijijini na Emmanuel Mlaki Katibu wa CHADEMA Wilaya la Moshi Vijijni na katibu wa Jimbo la Vunjo.

Viongozi watano (5) wa NCCR wakiongozwa na Stanley R. Temba Katibu wa NCCR Vunjo pamoja na Viongozi watatu (3) wa TLP wakiongozwa na Kawawa J. Rubega Katibu wa Jimbo la Vunjo

Kikao cha Halmashauri Kuu ya wilaya ya Moshi Vijijini kimewakubalia na kuwapokea ndani ya CCM.

Hii imepelekea idadi ya viongozi waliohamia CCM katika ziara ya ndg. Polepole mkoa wa Kilimanjaro kufikia 89.
Hii siyo story tena. Halafu natamani mngewajua watu wa Kilimanjaro wakoje hamnge weka huu ujinga hapa
 
Umechikua Katibu WA Chama Kata, Kesho anachaguliwa mwingine, Sijui unapambana na nini hapo,

Hebu jiulizeni, Bavicha in mwenyekiti au Haina, Katambi kaondoka, nini kimebadirisha mwenendo wa Chama,?

Mnatupa pesa za Bure tu,

Hii chama haifi, Chukua Katibu, kesho Katibu mwingine anachaguliwa Sasa Sijui mnafanya kazi gani
 
30 Januari 2018

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg.Polepole akiwa kwenye Kikao cha Halmashauri Kuu Wilaya ya Moshi Vijijini, Viongozi wa vyama vya upinzani 17 Moshi Vijijini wameomba kujiunga na CCM.

Viongozi 9 wa CHADEMA wakiongozwa na Ekarise Kiwia Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Moshi Vijijini na Emmanuel Mlaki Katibu wa CHADEMA Wilaya la Moshi Vijijni na katibu wa Jimbo la Vunjo.

Viongozi watano (5) wa NCCR wakiongozwa na Stanley R. Temba Katibu wa NCCR Vunjo pamoja na Viongozi watatu (3) wa TLP wakiongozwa na Kawawa J. Rubega Katibu wa Jimbo la Vunjo

Kikao cha Halmashauri Kuu ya wilaya ya Moshi Vijijini kimewakubalia na kuwapokea ndani ya CCM.

Hii imepelekea idadi ya viongozi waliohamia CCM katika ziara ya ndg. Polepole mkoa wa Kilimanjaro kufikia 89.

Awe makini tu asikute anapigwa changa la macho watu wa huko wanachukuaga hela tu yamoyoni wanayajua wao awe makini
 
Back
Top Bottom