Tindo
Platinum Member
- Sep 28, 2011
- 69,573
- 123,053
Mkuu wakati wenyewe wanajifanya kumiliki jukwaa kwa matusi na kejeri, sisi tunaokota embe dodo kiulaini.
Kila mkoa unatakiwa viwanda 100, ikiwemo kufufua vilivyokufa. Ingependekeza baada ya kupokea wanaohama angeenda kuzindua viwanda na kuahidi watu waamkie keshi yake kwenye ajira ya hivyo viwanda. Sasa hv kuhama hakuna mzuka tena.
