Polepole aubomoa upinzani Kilimanjaro

Polepole aubomoa upinzani Kilimanjaro

Trump2

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2017
Posts
1,553
Reaction score
2,610
30 Januari 2018

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg.Polepole akiwa kwenye Kikao cha Halmashauri Kuu Wilaya ya Moshi Vijijini, Viongozi wa vyama vya upinzani 17 Moshi Vijijini wameomba kujiunga na CCM.

Viongozi 9 wa CHADEMA wakiongozwa na Ekarise Kiwia Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Moshi Vijijini na Emmanuel Mlaki Katibu wa CHADEMA Wilaya la Moshi Vijijni na katibu wa Jimbo la Vunjo.

Viongozi watano (5) wa NCCR wakiongozwa na Stanley R. Temba Katibu wa NCCR Vunjo pamoja na Viongozi watatu (3) wa TLP wakiongozwa na Kawawa J. Rubega Katibu wa Jimbo la Vunjo

Kikao cha Halmashauri Kuu ya wilaya ya Moshi Vijijini kimewakubalia na kuwapokea ndani ya CCM.

Hii imepelekea idadi ya viongozi waliohamia CCM katika ziara ya ndg. Polepole mkoa wa Kilimanjaro kufikia 89.
 
30 Januari 2018

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg.Polepole akiwa kwenye Kikao cha Halmashauri Kuu Wilaya ya Moshi Vijijini, Viongozi wa vyama vya upinzani 17 Moshi Vijijini wameomba kujiunga na CCM.

Viongozi 9 wa Chadema wakiongozwa na
Ekarise Kiwia Mwenyekiti wa Chadema wilaya ya Moshi Vijijini na
Emmanuel Mlaki Katibu wa Chadema Wilaya la Moshi Vijijni na katibu wa Jimbo la Vunjo.

Viongozi watano (5) wa NCCR wakiongozwa na Stanley R. Temba Katibu wa NCCR Vunjo pamoja na Viongozi watatu (3) wa TLP wakiongozwa na Kawawa J. Rubega Katibu wa Jimbo la Vunjo

Kikao cha Halmashauri Kuu ya wilaya ya Moshi Vijijini kimewakubalia na kuwapokea ndani ya CCM.

Hii imepelekea Idadi ya Viongozi waliohamia CCM katika ziara ya Ndg. Polepole Mkoa wa Kilimanjaro kufikia 89.
Ain't story any more...
 
30 Januari 2018

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg.Polepole akiwa kwenye Kikao cha Halmashauri Kuu Wilaya ya Moshi Vijijini, Viongozi wa vyama vya upinzani 17 Moshi Vijijini wameomba kujiunga na CCM.

Viongozi 9 wa Chadema wakiongozwa na
Ekarise Kiwia Mwenyekiti wa Chadema wilaya ya Moshi Vijijini na
Emmanuel Mlaki Katibu wa Chadema Wilaya la Moshi Vijijni na katibu wa Jimbo la Vunjo.

Viongozi watano (5) wa NCCR wakiongozwa na Stanley R. Temba Katibu wa NCCR Vunjo pamoja na Viongozi watatu (3) wa TLP wakiongozwa na Kawawa J. Rubega Katibu wa Jimbo la Vunjo

Kikao cha Halmashauri Kuu ya wilaya ya Moshi Vijijini kimewakubalia na kuwapokea ndani ya CCM.

Hii imepelekea Idadi ya Viongozi waliohamia CCM katika ziara ya Ndg. Polepole Mkoa wa Kilimanjaro kufikia 89.


Wenyewe wako Kenya sasa wanamshangilia Uhuru Kenya wakati lichama lao likiporomoka!
 
30 Januari 2018

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg.Polepole akiwa kwenye Kikao cha Halmashauri Kuu Wilaya ya Moshi Vijijini, Viongozi wa vyama vya upinzani 17 Moshi Vijijini wameomba kujiunga na CCM.

Viongozi 9 wa Chadema wakiongozwa na
Ekarise Kiwia Mwenyekiti wa Chadema wilaya ya Moshi Vijijini na
Emmanuel Mlaki Katibu wa Chadema Wilaya la Moshi Vijijni na katibu wa Jimbo la Vunjo.

Viongozi watano (5) wa NCCR wakiongozwa na Stanley R. Temba Katibu wa NCCR Vunjo pamoja na Viongozi watatu (3) wa TLP wakiongozwa na Kawawa J. Rubega Katibu wa Jimbo la Vunjo

Kikao cha Halmashauri Kuu ya wilaya ya Moshi Vijijini kimewakubalia na kuwapokea ndani ya CCM.

Hii imepelekea Idadi ya Viongozi waliohamia CCM katika ziara ya Ndg. Polepole Mkoa wa Kilimanjaro kufikia 89.
biashara anaiweza
 
30 Januari 2018

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg.Polepole akiwa kwenye Kikao cha Halmashauri Kuu Wilaya ya Moshi Vijijini, Viongozi wa vyama vya upinzani 17 Moshi Vijijini wameomba kujiunga na CCM.

Viongozi 9 wa Chadema wakiongozwa na
Ekarise Kiwia Mwenyekiti wa Chadema wilaya ya Moshi Vijijini na
Emmanuel Mlaki Katibu wa Chadema Wilaya la Moshi Vijijni na katibu wa Jimbo la Vunjo.

Viongozi watano (5) wa NCCR wakiongozwa na Stanley R. Temba Katibu wa NCCR Vunjo pamoja na Viongozi watatu (3) wa TLP wakiongozwa na Kawawa J. Rubega Katibu wa Jimbo la Vunjo

Kikao cha Halmashauri Kuu ya wilaya ya Moshi Vijijini kimewakubalia na kuwapokea ndani ya CCM.

Hii imepelekea Idadi ya Viongozi waliohamia CCM katika ziara ya Ndg. Polepole Mkoa wa Kilimanjaro kufikia 89.
Mkuu wakati wenyewe wanajifanya kumiliki jukwaa kwa matusi na kejeri, sisi tunaokota embe dodo kiulaini.
 
30 Januari 2018

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg.Polepole akiwa kwenye Kikao cha Halmashauri Kuu Wilaya ya Moshi Vijijini, Viongozi wa vyama vya upinzani 17 Moshi Vijijini wameomba kujiunga na CCM.

Viongozi 9 wa Chadema wakiongozwa na
Ekarise Kiwia Mwenyekiti wa Chadema wilaya ya Moshi Vijijini na
Emmanuel Mlaki Katibu wa Chadema Wilaya la Moshi Vijijni na katibu wa Jimbo la Vunjo.

Viongozi watano (5) wa NCCR wakiongozwa na Stanley R. Temba Katibu wa NCCR Vunjo pamoja na Viongozi watatu (3) wa TLP wakiongozwa na Kawawa J. Rubega Katibu wa Jimbo la Vunjo

Kikao cha Halmashauri Kuu ya wilaya ya Moshi Vijijini kimewakubalia na kuwapokea ndani ya CCM.

Hii imepelekea Idadi ya Viongozi waliohamia CCM katika ziara ya Ndg. Polepole Mkoa wa Kilimanjaro kufikia 89.

Next njoo na breaking news ya maendeleo kwenye mkoa wa Moshi baada ya pole pole kufika
 
30 Januari 2018

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg.Polepole akiwa kwenye Kikao cha Halmashauri Kuu Wilaya ya Moshi Vijijini, Viongozi wa vyama vya upinzani 17 Moshi Vijijini wameomba kujiunga na CCM.

Viongozi 9 wa Chadema wakiongozwa na
Ekarise Kiwia Mwenyekiti wa Chadema wilaya ya Moshi Vijijini na
Emmanuel Mlaki Katibu wa Chadema Wilaya la Moshi Vijijni na katibu wa Jimbo la Vunjo.

Viongozi watano (5) wa NCCR wakiongozwa na Stanley R. Temba Katibu wa NCCR Vunjo pamoja na Viongozi watatu (3) wa TLP wakiongozwa na Kawawa J. Rubega Katibu wa Jimbo la Vunjo

Kikao cha Halmashauri Kuu ya wilaya ya Moshi Vijijini kimewakubalia na kuwapokea ndani ya CCM.

Hii imepelekea Idadi ya Viongozi waliohamia CCM katika ziara ya Ndg. Polepole Mkoa wa Kilimanjaro kufikia 89.
Hakuna kadiwani hata kamoja?
 
Huko anaweza pata wengi mno maana wachaga hawaachiagi hela ila kura hawapati ng'oooo
 
30 Januari 2018

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg.Polepole akiwa kwenye Kikao cha Halmashauri Kuu Wilaya ya Moshi Vijijini, Viongozi wa vyama vya upinzani 17 Moshi Vijijini wameomba kujiunga na CCM.

Viongozi 9 wa Chadema wakiongozwa na
Ekarise Kiwia Mwenyekiti wa Chadema wilaya ya Moshi Vijijini na
Emmanuel Mlaki Katibu wa Chadema Wilaya la Moshi Vijijni na katibu wa Jimbo la Vunjo.

Viongozi watano (5) wa NCCR wakiongozwa na Stanley R. Temba Katibu wa NCCR Vunjo pamoja na Viongozi watatu (3) wa TLP wakiongozwa na Kawawa J. Rubega Katibu wa Jimbo la Vunjo

Kikao cha Halmashauri Kuu ya wilaya ya Moshi Vijijini kimewakubalia na kuwapokea ndani ya CCM.

Hii imepelekea Idadi ya Viongozi waliohamia CCM katika ziara ya Ndg. Polepole Mkoa wa Kilimanjaro kufikia 89.
Katumia bilioni ngapi?
 
Back
Top Bottom