Polepole arudishe diplomatic passport

Polepole arudishe diplomatic passport

We unadhani kabla hajaanza kumkosoa huyu mamayenu kilaza hakujua figisu atakazokuja kufanyiwa, sio passport tu...hata roho yake kwasasa mnaitaka!
Yote hayo aliyajua na bila shaka alijiandaa, ndio maana hadi leo mnatapa tapa kujua wapi hasa alipo ndg slow slow ili mmu eliminate!

Sa100 anapiganiwa na genge la wahuni tuuu kwa ajili ya matumbo yao!
 
huenda Pole pole aliamua kujiongeza Kwa kusomea mambo mblmbl huko Cuba na kuuweka Ubalozi pembeni
 
Wewe nani unaye shidwa kukemea watu kuuwawa unayeshindwa kuwaambia ccm wezi wa mali za umma sawasawa na report ya CAG wawajibike unakumbilia kwa mtu anaye onyesha madudu yenu
Kalipwa elfu 7 aingie mtandaoni huyo. CCM hawana jipya
 
Kama unamuona Pole Pole ni tishio, na wewe ufahi kuwa raia
 
Chap kwa haraka. Arudishe passport tajwa
Tatizo la vilaza ni kufikiri kila mtu anaishi kwa hisani..
Kuna watu wanaishi kwa uwezo wao wa akili walizajaaliwa na Mungu na hata ukimwangalia polepole anaajirika nchi yyte duniani bila shida na kazi akafanya.
 
Back
Top Bottom